Bungeni: Kigwangalla amfundisha Mbowe hekima

Bungeni: Kigwangalla amfundisha Mbowe hekima

Hata huyo Kigwangala alifahamu vipi kuwa lilirushwa nyuma ya jukwaa kama c mhusika jamani? Tuwe makini na kauli za walugaluga wadikiwa na uwezo wa kupambanua mawazo
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

kama HKigwangalla amesema haya ni wazi mbunge huyu ana kichwa kigumu sana na uelewa wake ni mdogo. yani anashindwa kujua kuwa pale kulikuwa na camera nyingi na mbowe amesema ana ushahidi na ushahidi unaweza kukusanywa kwa njia mbalimbali sio mpaka mbowe awea amemuona , yani hajui watu wana mkanda wa vidieo wa hilo tukio? na ukifatilia hili tukio utagundua mbowe alisema hayo siku ya pili baada ya tukio ni wazi walipitia vile vyanzo vya habari ikiwamo video zilizo kuwa zinachukuliwa pale.
 
Last edited by a moderator:
Akiwa ana changia, Mhe
Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha
kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye
kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa
kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema
yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa
jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

Hammy D hii mimba changa aliyokupachika gaidi mwigulu inakusumbua sana kama vipi ichomoe naona unatapatapa sana.
 
Acha kupotosha umma, unaonesha nawe hukumwelewa Mbowe kama Kigwangala. Kimsingi Mbowe hakusema kuwa yeye alimwona mlipuaji ama yeye ndio alirekodi video hiyo! MBOWE alisema ana ushahidi wa kutosha wa video. Sasa kuwa na ushahidi haina maana kuwa yeye ndo alireko ama aliona! KINGWANGALA hajui kuelewa ama aliropoka tu kwa kutafuta sifa ama UCcm unamsumbua
 
Ana hekima gani ambaye hata baba yake hamjui utakuwa na hekima mtu ambaye hana hata jina ubini kalewa fedha za kodi za wananchi ambazo anatumbua yeye kupitia WAMA hana adabu
Moderators, haya mengine ni matusi makubwa sana, na wala siyo siasa hii...
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"
mBOWE HANA CREDIBILITY KAMA KIONGOZI MAKINI WA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI, ANASHINDWA HEKIMA NA DK KIGWANGALLA
 
Back
Top Bottom