Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.
Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.
Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"
Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.
Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"