Yule mama kweli hajatulia. Sasa anaposema kupiga kura za siri ni ushoga, na sisi huwa tunapiga kura za siri kumchagua rais, wabunge, madiwani na viongozi wa ngazi mbali mbali za kisiasa, kidini na kijamii. Sasa kama kupiga kura za siri ni ushoga, basi hata Zanzibar na Tanganyika ni za mashoga na kwa maana hiyo hata wao huko bungeni wanapopiga kura za siri kuchaguana, ushoga! Huyu mama katoa kali ya mwaka!
Ushoga upo Tz kisiri ndo maana mother kajua kila siri ni ushoga tafakari sana utaelewa!