Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,314
Heshima mbele wakuu wa JF.
Ninaangalia bunge live na nilichoweza kugundua,muendesha kamera anapeleka kamera tu kwa yule anayeongea na hivyo hatutaona tena vituko vya hawa waheshimiwa wakiwa wamelala au waki chati na naona kifuatacho ni ku edit habari...
je,wewe umegundua nini?
Ninaangalia bunge live na nilichoweza kugundua,muendesha kamera anapeleka kamera tu kwa yule anayeongea na hivyo hatutaona tena vituko vya hawa waheshimiwa wakiwa wamelala au waki chati na naona kifuatacho ni ku edit habari...
je,wewe umegundua nini?
