Mi nafikiri cha msingi tuanzishe utaratibu wa kukusanya saini zetu ambazo tutaanda na muhtasari wa vikao vyetu na kuandamana nchi nzima mpaka ikulu na kumalizia Dodoma mjengoni kuung'oa utawala wa kisultani wa mama Makinda,tumechoka hatuhitaji kuchezewa akili na kufanywa wanasesere
Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
Anatafuta cheap popularity. Kumbukumbu zangu zinanionyesha ni huyu huyu aliyekiuka katiba na kutaka MAHAKAMA YA KADHI IWEPO. Mungu amrehemu, kwani anajiharibia.Mbunge wa Vunjo mh.Mrema ameunga mkono kauli ya katibu wa bunge,Dr.Thomasi Kashilila kuwa bunge lisionyshwe moja kwa moja wakati vikao vya bunge vikiendelea.
Mh.Mrema amesema hivi sasa bunge linatia aibu na hivyo ni bora kulidhibiti.Mh.Mrema alikuwa anaoa maoni yake alipokuws anahojiwa na gazeti la mwananchi la leo ambalo liliwahoji watu mbali mbali kupta maoni yao juu ya kauli ya katibu wa bunge.Wengi wamepinga kauli hiyo akiwemo mh.Mnyika na prof.Ibrahimu Lipumba.
Source:Mwananchi online.
.........
Wamechoka kuigiza huku tukiwashuhudia live eeh? Na kuongezeana posho za kusinzia na kuzurura kila uchao? Wanatia aibu!
Utu uzima dawa. Moto hauzimwi kwa kuufunika na khanga. Jirekebisheni mambo huenda yakabadilika, no promises manake wananchi wamechoka.
utakataa sawa.... then???Hatutokubali sasa wananchi tutajuaje utumbo wa serikali yetu?