YonoNatumia dalali gani?
WaaleykumSalamaleko
Labda akanunuwe huo Mkusanyiko wa Bundi. Lakini sio pale Dodoma
Mcheki Rostam Aziz. Hakuna kitu kinashindikana kwa yule MwambaNatumia dalali gani?
walaaa hajavuta yupo sawa TU!!. kama mule ndani kuna covid-19 awasiliane na mgulu madelu mchembe wamuuzie tu hakuna namnaMkuu umevutia wapi , maana mimi sometime navutia chooni au jalalani ila sijakufikia hizi akili !!
Nipe location nikamoke
mkuu mkusanyiko wa bundi ndo wp?Labda akanunuwe huo Mkusanyiko wa Bundi. Lakini sio pale Dodoma
Anza kwa kununua wabunge hasa wale wamichongo ambao marehemu asingeingliia Kati wasingetoboa ambayo Ni rahisi baadaye unanunua jengo halafu unakua mhimili.Kwamfano nikiwa na hela, nikapenda eneo ambalo bunge limejengwa naweza kununua na kufanya miradi yangu kama vile ufugaji wa kuku wa mayai, njiwa nk?
Kama hairuhusiwi ni kwa mujibu wa sheria gani? Kama inaruhusiwa natakiwa kuanzia wapi?
Asanteni.