Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
Leo waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano amehitimisha bunge la Jamhuri ya muungano kwa hotuba yake iliogusa Nyanja zote za kimaisha, kisiasa, kijamiii na kiuchumi, hiki huwa ni kipindi kitamu sana kwa wabunge wote wa Jamhuri ya muungano ambapo kila mbunge uunga mkono hoja hiii kwa sauti ya ndiyoooo.
Ndugu zangu wabunge wa majimbo mbalimbali Tanzania nawakumbusha kurudi majimboni kwenu mkapigane ili kuleta maendeleo majimboni mwenu, na sio tuanze kukutana kwenye mahotel makubwa makubwa jijini Dar mkiwa na warembo na watu wa maarufu wa jijini, hilo nakwambieni sababu watu wameshagutuka wanataka maendeleo na si porojo za kisiasa kama za akina HALIMA MDEE, nenda kaulize jimboni kwake amefanya jambo gani la maendeleo, ni vilio vitupu, hata kuna watu wengine hawajui kama ni mbunge wao.
Juhudi zenu za kuleta maendeleo na kutatua kero za wananchi majimboni mwenu ndizo ztakazo warudisha bungeni.
NAKUTAKIENI UJENZI MWEMA WA TAIFA LENU.
Ndugu zangu wabunge wa majimbo mbalimbali Tanzania nawakumbusha kurudi majimboni kwenu mkapigane ili kuleta maendeleo majimboni mwenu, na sio tuanze kukutana kwenye mahotel makubwa makubwa jijini Dar mkiwa na warembo na watu wa maarufu wa jijini, hilo nakwambieni sababu watu wameshagutuka wanataka maendeleo na si porojo za kisiasa kama za akina HALIMA MDEE, nenda kaulize jimboni kwake amefanya jambo gani la maendeleo, ni vilio vitupu, hata kuna watu wengine hawajui kama ni mbunge wao.
Juhudi zenu za kuleta maendeleo na kutatua kero za wananchi majimboni mwenu ndizo ztakazo warudisha bungeni.
NAKUTAKIENI UJENZI MWEMA WA TAIFA LENU.