Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Sasa hapo ungekuja na hoja inayopingana na hoja za kiuchumi za Bashe ndo ungekuwa GT kweli kweli. Hayo uliolyoandika ni mipasho isiyokuwa na ukweli wala maana!Inasikitisha sana Bashe ni mtafutaji kiki za kisiasa kuliko mbunge mwingine yeyote...yuko na mission zake ambazo anataka kuziaccomplish kwa faida yake na familia yake..MBAYA....nawahurumia wananchi wake.