chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 1,991
- 1,364
WABUNGE wengi kama sio wote hawana KARMA ya kiuongozi. WABUNGE wenye KARMA ya UONGOZI wanajikita katika kuhamasisha maendeleo ya nchi sio kuchochea kudhohofisha serikali. WABUNGE wanalia lia tu bungeni, kulalamik tu.