KabisaSijaona utata ila naona mantiki ya kile alichoongea ni sahihi tunahitaji kujitegemea isipokuwa uhakika wa hizo fedha zetu upo wapi..?
Mi sidhani Kama Kuna mtu anaweza kukataa kulipa hizo tozo swala ni hizo tozo zitumike kuleta maendeleo kweli na sio viongozi kujinufaisha matumbo yao tu.