Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Watanzania sasa wamepata uhakika wa nini bunge linafanya.
Kupitia spika wa bunge Job Ndugaye amesema kuwa tozo zote zilipitishwa na bunge kwa ulazima.
Watanzania watake wasitake miamala lazima itozwe tozo tu.
Hii kweli ni nchi huru inayo heshimu haki za binadamu.
Kupitia spika wa bunge Job Ndugaye amesema kuwa tozo zote zilipitishwa na bunge kwa ulazima.
Watanzania watake wasitake miamala lazima itozwe tozo tu.
Hii kweli ni nchi huru inayo heshimu haki za binadamu.