Wewe sasa umechemsha. Hivi hao wananchi unaowazungumzia wewe wana uwezon hata wa kufungua mtandao? Ukiona mtu amefikia kiwango cha kufungua mtandao huyo ameelimika na suala la lugha halitakuwa tatizo kwake. Lakini kule kwetu Ludewa issue ya mtandao ni ndoto na hiyo inammanisha mtandao ni kwa watumiaji wa nje au wale walioelimika na kujua kidhungu.