Mkodoleaji
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 458
- 138
Jamani pamoja na kwamba kiingereza ni muhimu lakini kuna kushobokea kwingine kuna kera. Hivi hili bunge ni la wananchi au la nani? Sasa unakuta Bunge la Tanzania nchi ambayo wananchi wake wengi (karibu wote) wanaongea kiswahili unakuta mtandao umejaa kiingereza.