Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,167
- 6,099
Kuanzia leo wateja zangu wote,, wengine mpo humu, skanka mzigo mpya huo ila imepanda bei,, mana sasa ishakuwa jinai,, nadhani tumeelewana, sio tena uje uanze kuleta songi songi, mahakamani napanda peke yangu, uji ntaenda kuunywa peke yangu,, yani majani haya sijui kwa nini serikali ya nchi hii ina chuki nayo, wakati haya ni majani kama majani mengine