Mkuu hawajajua vizuri figisu za wabongo hao. Tukizianza wataimba poo!Lakini wakae wakijua sisi ndo mabingwa wa siasa za mitaroni na kukamiana soon watapoteana,icheze Tanzania kwenye mambo mengine ila sio siasa na mipango ya kupotezana
Mkuu hawajajua vizuri figisu za wabongo hao. Tukizianza wataimba poo!Lakini wakae wakijua sisi ndo mabingwa wa siasa za mitaroni na kukamiana soon watapoteana,icheze Tanzania kwenye mambo mengine ila sio siasa na mipango ya kupotezana
Ni kweli kucopy na kupaste lakini hilo laweza kuwa tatizo la kiundashi na mhariri wa hilo gazeti naamini alipitiwa
Unaposema limevunjwa kisheria n kuwa ,limepisha tukio kubwa kama la uchaguzi na mambo yanayofanana na kimantiki sizani kama huyo spika ana mandate ya kuvunja bunge kama sio kuhairisha.
...
Ndo maana tunasema kuwa tuna waandishi makanjanja Tanzania. Na wewe unaiga ukanjanja
Miaka yote Arusha ndio makao makuu ya EAC.Kwanini vikao vifanyike Dar? Mji wa Arusha umekuwa kama unatengwa toka wananchi wake wawe na mwamko wa mapinduzi ya kisiasa.Hata matukio ya mabomu kufululiza na kufanya mji kuonekana hauna utulivu inaweza kuwa sehemu ya mkakati.
Haiwezekani kitovu cha utalii Africa badala ya kupatunza na kuweka usalama wa kutosha tunafanya siasa....kwa faida ya nani? Labda tujue Arusha kuna siri gani maana mbona Mbeya,Kawe na Mwanza ambako ni nyeti pia lakini hakuna ujinga wa kiwango hiki?
Ifikie hatua vyombo vyetu vya dola visimamie miongozo yao ya kazi na si maagizo ya wanasiasa yenye mlengo usio na manufaa kwa taifa.:cool2:
mambo yote haya unapaswa kumweleza lema na mwenyekiti wako mbowe wao ndiyo wachafuzi wa Arusha kwa kufadhiri mipango michafu na kufanya vurugu kila siku kwa kujitega mabomu na kujiteka.
Kuna haja la wamiliki wa jamiiforums kuanzisha jukwaa la watu kujifunza lugha ya kiswahili. Hivi ni kweli kwamba Petro E. mselewa hajui tofauti ya kuahirishwa na kuvunjwa? Hii ni aibu kubwa sana
Sijui Sx kama anajifunza lolote hapa. Mwenzake kaona hakuna maamuzi yoyote yatakayofikiwa kutokana na kutotimia akidi kaahirisha bunge, yeye pamoja na kuona na kujua kuwa akidi haitatimia kupitisha maamuzi anaendelea na bunge lake.Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jana lilivunjika kutokana na kutotimia akidi ya Wajumbe kutoka Rwanda na Burundi. Vikao vya Bunge hilo vinafanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge hilo Dr. Margaret Nantongo Zziwa alilivunja Bunge hilo saa sita mchana wa jana kutokana na kukosekana kwa akidi.
Chanzo: Mwananchi uk. 3
Nakumbuka wabunge wa rwanda waliandaa ajenda ya kumuondoa spika,baadae wabunge wa tanzania wakabaini ni mkakati wa kagame wakaamua kuliweka wazi,na kuondoa sahihi zao katika petition, nafikiri sasa rwanda wamekuja na plan b ya kukwamisha jumuia na kumkwamisha spika kwa kuacha kuhudhuria,ushirika wowote na mtusi ni matatatizo JMAll murutongore
Sijui Sx kama anajifunza lolote hapa. Mwenzake kaona hakuna maamuzi yoyote yatakayofikiwa kutokana na kutotimia akidi kaahirisha bunge, yeye pamoja na kuona na kujua kuwa akidi haitatimia kupitisha maamuzi anaendelea na bunge lake.
Nakumbuka wabunge wa rwanda waliandaa ajenda ya kumuondoa spika,baadae wabunge wa tanzania wakabaini ni mkakati wa kagame wakaamua kuliweka wazi,na kuondoa sahihi zao katika petition, nafikiri sasa rwanda wamekuja na plan b ya kukwamisha jumuia na kumkwamisha spika kwa kuacha kuhudhuria,ushirika wowote na mtusi ni matatatizo JMAll murutongore
Lakini wakae wakijua sisi ndo mabingwa wa siasa za mitaroni na kukamiana soon watapoteana,icheze Tanzania kwenye mambo mengine ila sio siasa na mipango ya kupotezana
hivi kwanini wanataka kumtoa spika?. na ishu za vikao kuzunguka nchi na nchi iliishia wapi?Hii ni kwa mujibu wa nyepesi nilizozipata,itakumbuka kuwa rwanda walitaka kumuondoa spika kwa hila,tanzania ikabaini,ikaondoa saini kwenye petition,sasa rwanda imeamua kulikwamisha bunge kwa kutohudhuria
Mkuu MTAZAMO tunaomba Mungu siku za Kikwete Magogoni zimalizike haraka sana.
Miaka yote Arusha ndio makao makuu ya EAC.Kwanini vikao vifanyike Dar? Mji wa Arusha umekuwa kama unatengwa toka wananchi wake wawe na mwamko wa mapinduzi ya kisiasa.Hata matukio ya mabomu kufululiza na kufanya mji kuonekana hauna utulivu inaweza kuwa sehemu ya mkakati.
Haiwezekani kitovu cha utalii Africa badala ya kupatunza na kuweka usalama wa kutosha tunafanya siasa....kwa faida ya nani? Labda tujue Arusha kuna siri gani maana mbona Mbeya,Kawe na Mwanza ambako ni nyeti pia lakini hakuna ujinga wa kiwango hiki?
Ifikie hatua vyombo vyetu vya dola visimamie miongozo yao ya kazi na si maagizo ya wanasiasa yenye mlengo usio na manufaa kwa taifa.:cool2:
sioni tatizo la Kikwete hapo.
ni vizuri machalii wakafikiria mtu wakupeleka bungeni hata kama ni chadema. hatuhitaji watu wakwenda kutukana watu.
sioni tatizo la Kikwete hapo.
ni vizuri machalii wakafikiria mtu wakupeleka bungeni hata kama ni chadema. hatuhitaji watu wakwenda kutukana watu.
Kikwete ana tatizo kahamisha mikutano yote ya kimataifa Arusha.
Bunge huvunjwa na spika au huairishwa anyway sijui kisheria mwenye mamlaka ya kuvunja bunge la EAC ni nan? But spika hawez vunja bunge huarisha kwan kuvunja n tafsiri nyingine na kuhairisha n tafsiri nyingine hivyo mkuu hapo umechemka au ndo mwendelezo wa propaganda afu mkiambiwa ukweli kwa nia ya kuelimishana mnakuwa wakali....go on limevunjwa