Bunge la EAC lavunjika Dar es Salaam

Bunge la EAC lavunjika Dar es Salaam

Kikwete anasababisha kuyumba sana kwa EAC
wewe uliyekuwa mfuasi wa sisi kwa sisi iliyokuwa inajihusisha na ushoga bado unaendelea kugawa hicho kiboga chako kama kikombe cha babu hata baada ya ile taasisi yenu kufungiwe?
 
Kuna haja la wamiliki wa jamiiforums kuanzisha jukwaa la watu kujifunza lugha ya kiswahili. Hivi ni kweli kwamba Petro E. mselewa hajui tofauti ya kuahirishwa na kuvunjwa? Hii ni aibu kubwa sana

Nami naunga mkono,hivi kweli mtu anashindwa kuandika gharama,badala yake anaandika ghalama,najua kwa kutamka ni ishu,je kuandika?
 
Back
Top Bottom