Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jana lilivunjika kutokana na kutotimia akidi ya Wajumbe kutoka Rwanda na Burundi. Vikao vya Bunge hilo vinafanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge hilo Dr. Margaret Nantongo Zziwa alilivunja Bunge hilo saa sita mchana wa jana kutokana na kukosekana kwa akidi.
Chanzo: Mwananchi uk. 3
Chanzo: Mwananchi uk. 3