"Kwanza mikamera Yao haina adabu"
"Mtu usifumbe macho kidogo kosa wameshakunanihii tayari."
"wakati Mwingine sisi tunakuwa na Kazi nzito usiku Za kiufundi kuiokoa serikali (KUROGA) sasa lazima kikaoni AMA tutoroke au tuchape usingizi, hizi kamera zao bwana.. Ziondolewe watu tuwe free"
" mie wife kancheki kupitia runinga kikaoni simo, Basi akapiga cm, nikamwambia shortly niko Kwenye neshno asembuli, akamaka mbona sikuoni .. Ah nikastuka kumbe iko live.. Nikahang-ova, Basi moto wake niliporudi hausemeki.. Hii kitu iondolewe itanvunjia ndoa Na Mwadawa nae hataki kuniachia.!!"
"Hawa CHADEMA hawalali, kutwa kucha wanafukunyua fukunyua serikali, Sifa tu, wanatupelekesha speed ya 180, aisee mie Ubunge siutaki Tena, Hela tam tunaipenda lakini Aibu ya kuumbuliwa inadumu maisha!!i.."
"one day nikiwa jimboni kwangu, nilipoamka nikawaona all my family members wako sitting wanaangalia kikao Cha Bunge including my wife, Basi wakisimana hawa Watoto wadogowadogo Wa Chadema familia inawashangilia Kama mpira vile .. Nikawa shocked.. Mchana nikamwita Fundi akorofoshoe Dishi hadi kikao kiishe"
"mie wife aliniona naandika MSG, Ghafla nae akantumia MSG kuniuliza namwandikia nani , nakamjibu faster PM, Kumbe PM siku hiyo hakuwepo kikaoni, Basi wife akampigia cm Na asivyo Na haya kamwambia eti mweshimiwa kakutumia MSG umeipata, jamaa nae kajibu no, aisee huko hom hakukaliki mpaka niseme MSG nilikuwa yaenda wapi..'
"watu wanamwaga Siri zetu nje, wanadiriki kuweka open awa salari Na marupurupu, ona sasa hawa wadada nao wanapandisha bei Za huduma zao kisa wamesikia tumepandishiwa posho'
"Wasiponiona kikaoni Basi Nyumba ndogo zote Za hapa DDM, Zinapiga cm Kwa mashambulizi, Mara hani sikuoni bungeni Kama uko mahali nambie nije, mwingine dia uko wapi mbona sikuoni, Mwingine Dia mbona sijuoni au Unamwogopa Lisu Nini!! Kisha anacheka He Hee!! Wanaudhi kweli , ziondolewe kabisa hizi makamera"
Embu weka nawe "msababu wa nguvu" hapa..!!