IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 19, 2011 #1 Waheshimiwa wa bunge la JF naomba tuanze mkutano. Spika kikao kianze
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Mar 19, 2011 #2 anza na dua la kuiombea jf kwanza
IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 19, 2011 Thread starter #3 Jaluo_Nyeupe said: anza na dua la kuiombea jf kwanza Click to expand... shukran mheshimiwa mbunge kwa kunikumbusha. Ila mimi sio muislam sitoweza kuomba dua. Ila kama mnataka maombi nitaomba
Jaluo_Nyeupe said: anza na dua la kuiombea jf kwanza Click to expand... shukran mheshimiwa mbunge kwa kunikumbusha. Ila mimi sio muislam sitoweza kuomba dua. Ila kama mnataka maombi nitaomba
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Mar 21, 2011 #4 samahani Mh Mbunge wa ......umedondosha hirizi yako. angalia pembeni ya mguu wako wa kulia.
LD JF-Expert Member Aug 19, 2010 3,014 574 Mar 21, 2011 #5 Mheshimiwa spika.....naomba kuwasilisha!!!
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,260 Mar 21, 2011 #7 Naunga mkono hoja ....................japokuwa sijasoma wala sijaelewa kilichoandikwa
A allydou JF-Expert Member Apr 16, 2009 1,603 1,060 Mar 21, 2011 #8 mh spika, sikubaliani kabisa na maelezo ya mh waziri kwenye kipengele hiki, lakini naunga mkono hoja kwa 100%
mh spika, sikubaliani kabisa na maelezo ya mh waziri kwenye kipengele hiki, lakini naunga mkono hoja kwa 100%
S Suguti New Member Mar 13, 2011 1 0 Mar 21, 2011 #9 Mi siungi mkono hoja wala sipingi ila kitakacho amuliwa mi kwangu poa tu:lol::lol::lol:
Susy JF-Expert Member Feb 5, 2011 1,431 221 Mar 21, 2011 #10 Dena Amsi said: Naunga mkono hoja ....................japokuwa sijasoma wala sijaelewa kilichoandikwa Click to expand... mh spika!! napinga hoja ya mh Dena kwakuwa ameunga mkono hoja asiyoijua!!!
Dena Amsi said: Naunga mkono hoja ....................japokuwa sijasoma wala sijaelewa kilichoandikwa Click to expand... mh spika!! napinga hoja ya mh Dena kwakuwa ameunga mkono hoja asiyoijua!!!
M Madenge Member Dec 2, 2008 93 10 Mar 21, 2011 #11 Mh Spika naomba hoja zirudiwe zote sijazielewa...Mh nanii alikuwa...
IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 21, 2011 Thread starter #12 LD said: Mheshimiwa spika.....naomba kuwasilisha!!! Click to expand... wasilisha
IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 21, 2011 Thread starter #13 Dena Amsi said: Naunga mkono hoja ....................japokuwa sijasoma wala sijaelewa kilichoandikwa Click to expand... teh teh shukran mheshimiwa mbunge
Dena Amsi said: Naunga mkono hoja ....................japokuwa sijasoma wala sijaelewa kilichoandikwa Click to expand... teh teh shukran mheshimiwa mbunge
IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 21, 2011 Thread starter #14 Kutokana na katiba ya jamvini kifungu cha kwanza ibara ya 9, kinasema. 'ukitaka kuunga honga bofya thanks hapo'
Kutokana na katiba ya jamvini kifungu cha kwanza ibara ya 9, kinasema. 'ukitaka kuunga honga bofya thanks hapo'
IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 21, 2011 Thread starter #15 Washawasha said: samahani Mh Mbunge wa ......umedondosha hirizi yako. angalia pembeni ya mguu wako wa kulia. Click to expand... hapana nadhan unamatatizo ya macho mheshimiwa hvyo wahi loliondo
Washawasha said: samahani Mh Mbunge wa ......umedondosha hirizi yako. angalia pembeni ya mguu wako wa kulia. Click to expand... hapana nadhan unamatatizo ya macho mheshimiwa hvyo wahi loliondo
Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Mar 21, 2011 #16 mh supika....usifanye maombi kwanza naona mh. waziri wa mambo ya hivyo hivyo ameuchapa usingizi Mr. Cool said: shukran mheshimiwa mbunge kwa kunikumbusha. Ila mimi sio muislam sitoweza kuomba dua. Ila kama mnataka maombi nitaomba Click to expand...
mh supika....usifanye maombi kwanza naona mh. waziri wa mambo ya hivyo hivyo ameuchapa usingizi Mr. Cool said: shukran mheshimiwa mbunge kwa kunikumbusha. Ila mimi sio muislam sitoweza kuomba dua. Ila kama mnataka maombi nitaomba Click to expand...
D dorry Senior Member Feb 2, 2011 136 28 Mar 21, 2011 #17 mwongozo wa spika tafadhali kuhusu kuonekana kwa hirizi
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,260 Mar 21, 2011 #18 Mr. Cool said: teh teh shukran mheshimiwa mbunge Click to expand... Muheshimiwa spika naomba mwongozo wako........................
Mr. Cool said: teh teh shukran mheshimiwa mbunge Click to expand... Muheshimiwa spika naomba mwongozo wako........................
IT Guru JF-Expert Member Feb 17, 2011 635 112 Mar 21, 2011 Thread starter #19 Sasa waheshimiwa wabunge tuanze kwa kuwasilisha hoja na dukuduku zetu hapa jamvini na kisha tuzijadili
Sasa waheshimiwa wabunge tuanze kwa kuwasilisha hoja na dukuduku zetu hapa jamvini na kisha tuzijadili
Pasco_jr_ngumi JF-Expert Member Nov 20, 2010 1,802 282 Mar 21, 2011 #20 Mh.Spika, waziri kjana ananiibia bnt yangu, naomba mwongozo tafadhali.