Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,168
- 48,446
Bunge ndiyo linalotunga Sheria. Ukitoa maelezo kuonesha kuwa bunge halitungi Sheria, jua unajiongoza vibaya.
Mswada kwa lugha nyepesi ni mapendekezo. Kwa ivo mapendekezo siyo Sheria.
Mapendekezo yawe ya serikali ama ya mbunge binafsi, ili yawe Sheria ni lazima yapitie hatua kadhaa ndani ya bunge.
Huo mchakato wa kuyageuza mapendekezo kuwa Sheria ndiyo utungaji wenyewe wa Sheria.
Kama mbunge ama Serikali wakaleta mapendekezo Yao (Mswada) na Bunge wakayakataa mapendekezo hayo, basi hayawezi kuwa Sheria.
Na ndiyo maana Rais hutia Saini Sheria zilizotoka bungeni na siyo miswada iliyopelekwa bungeni.
Sasa hoja ya kiwango cha Elimu za wabunge ni jambo jingine kabisa lisiloondoa mamlaka ya kikatiba ya bunge kutunga Sheria.
Mswada kwa lugha nyepesi ni mapendekezo. Kwa ivo mapendekezo siyo Sheria.
Mapendekezo yawe ya serikali ama ya mbunge binafsi, ili yawe Sheria ni lazima yapitie hatua kadhaa ndani ya bunge.
Huo mchakato wa kuyageuza mapendekezo kuwa Sheria ndiyo utungaji wenyewe wa Sheria.
Kama mbunge ama Serikali wakaleta mapendekezo Yao (Mswada) na Bunge wakayakataa mapendekezo hayo, basi hayawezi kuwa Sheria.
Na ndiyo maana Rais hutia Saini Sheria zilizotoka bungeni na siyo miswada iliyopelekwa bungeni.
Sasa hoja ya kiwango cha Elimu za wabunge ni jambo jingine kabisa lisiloondoa mamlaka ya kikatiba ya bunge kutunga Sheria.