Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,809
- 93,578
Hawa wanajua kilichotokea
Wanafikiri porojo zao humu zitazuia uchunguzi kuendelea!safari hii imekula kwenu!Hapa Nassari ana kesi ya kujibu.maganda ya risasi yote ya bunduki yake na za majambazi hata ganda moja halijapatikana eneo LA tukio.Kitu ambacho si cha kawaida.Maganda yangeonekana polisi wangeyapata
WAO WALIPIGA RISASI 12 ...HIVI MTU UKIVAMIWA UNAWEZA KUKUMBUKA KUHESABU IDADI YA RISASI ZINAZOPIGWA?
Nchi iko kikononi mwa wauajiYale yale ya lissu waathirika ndiyo wanachunguzwa, Mpaka leo wanamsubiri Lissu na dereva ndiyo waanze uchunguzi, hivi ni vichekesho
Si ndiyo ugumu unaanzia hapo. Hata majirani inasemekana hawakusikia hiko kishindo cha mvua ya risasi. Mbwa naye kazikwa kabla ya kufanyiwa postmortum na madaktari wa vet. kubaini kilicho muondoa duniani.Hapa Nassari ana kesi ya kujibu.maganda ya risasi yote ya bunduki yake na za majambazi hata ganda moja halijapatikana eneo LA tukio.Kitu ambacho si cha kawaida.Maganda yangeonekana polisi wangeyapata
Wewe lazima unachezewa sehemu za nyuma, mbona huelewi?Hapa Nassari ana kesi ya kujibu.maganda ya risasi yote ya bunduki yake na za majambazi hata ganda moja halijapatikana eneo LA tukio.Kitu ambacho si cha kawaida.Maganda yangeonekana polisi wangeyapata
Uliwaona?Hawa polisi walishayakusanya na kuyaficha.
Hawawezi kuyaokota watasema mbwa waliokufa wangeweza kuisaidia polisi kwenye uchunguziTuanze na hili, yale maganda ya risasi yaliookotwa crime scene ni ya siraha gani?
Hizi drama za nchi hii zinaboaaa!!
Kwani nani aliondoa cctv camera ya nyumbani kwa akina Lissu Dodoma?Uliwaona?
Jibu swali la msingi challiiiiiKwani nani aliondoa cctv camera ya nyumbani kwa akina Lissu Dodoma?
Can't argue with a nincompoop!Jibu swali la msingi challiiiii