Bunduki inafanyaje kazi?

Bunduki inafanyaje kazi?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,994
Wakuu kwa anayejua naomba anijuze jinsi bunduki inafanya kazi, nataka kununua kwaajili ya ulinzi binafsi nyumbani.
 
[video=youtube_share;1XjaVzgS0zM]http://youtu.be/1XjaVzgS0zM[/video]
 
konkoliko mlango wa chuma ukiufungua hauna huruma
 
NI HIVI: **** bunduki za aina nyingi, zipo za vitani km SM, AK 47, G3, Light Machine Gun, Heavy Mchine gun etc. Kuna bunduki za kuwindia na kuna bastola.
Bunduki za vitani ni automatic, kwa maana kwamba unapopoga risasi moja, inaruhusu nyingine kuingia chamber. Risasi hukaa kwenye kasha (magazine na nyingine huyumia mkanda). Kimsingi bunduki inafanya kazi kwa msaada wa spring iliyoshikilia cocking handle. Unapovuta cock nyuma na kuiachia, spring huiridisha kwa kasi hivyo kuiwezesha kuchota risasi kwenye kasha na kuiweka chamber tayari kupigwa. Kupoga unabonyeza triger, hapo utatokea mlipuko wa baruri iliyomo kwenye risasi nayo risasi itatoka kwa kasi. Risasi inapotoka, ule mshtuko utaisukuma nyuma cock na kurudi huku ikichota risasi nyingine na kuiweka chamber tena. Vitendo hivyo vyote hufanyika kwa sekunde moja. Hiyo ni automatic.
Bunduki za kuwindia mara nyingi sio automatic, hivyo risasi ikishalipuka, unacock tena ili risasi nyingine iingie chamber.
 
Hahah zile za kusafisha kila saa, ku reload sidhan kama zipo in use kwa sasa . . My be for demo
niliona hizo ni rhisi mtu kuelewa na kueleza. hivi zinatumia mechanism tofauti na za kisasa?
 
NI HIVI: **** bunduki za aina nyingi, zipo za vitani km SM, AK 47, G3, Light Machine Gun, Heavy Mchine gun etc. Kuna bunduki za kuwindia na kuna bastola.
Bunduki za vitani ni automatic, kwa maana kwamba unapopoga risasi moja, inaruhusu nyingine kuingia chamber. Risasi hukaa kwenye kasha (magazine na nyingine huyumia mkanda). Kimsingi bunduki inafanya kazi kwa msaada wa spring iliyoshikilia cocking handle. Unapovuta cock nyuma na kuiachia, spring huiridisha kwa kasi hivyo kuiwezesha kuchota risasi kwenye kasha na kuiweka chamber tayari kupigwa. Kupoga unabonyeza triger, hapo utatokea mlipuko wa baruri iliyomo kwenye risasi nayo risasi itatoka kwa kasi. Risasi inapotoka, ule mshtuko utaisukuma nyuma cock na kurudi huku ikichota risasi nyingine na kuiweka chamber tena. Vitendo hivyo vyote hufanyika kwa sekunde moja. Hiyo ni automatic.
Bunduki za kuwindia mara nyingi sio automatic, hivyo risasi ikishalipuka, unacock tena ili risasi nyingine iingie chamber.
shukrani sana mkuu. kwa maelezo yako na video za faiza nimeelewa vizuri sana.
 
Wewe Unataka Kuwa Jambazi Siyo Bure,nahisi Unamiliki Silaha Kinyume Cha Sheria Na Umeificha Sehemu,kama Kweli Unataka Kununua Bunduki Ya Kujilinda Hakukuwa Na Haja Ya Kutaka Maelekezo Kutoka Humu,ukishamaliza Legal Procedures Za Kumiliki Silaha,pale Pale Unaponunulia Silaha Yako Kuna Wataalamu Wanakufundisha Namna Ya Kuitumia Kama Hujui,bunduki Haziuzwi Kama Nguo Tu,unafika Dukani Unanunua Na Kuondoka Nayo.
 
Wewe Unataka Kuwa Jambazi Siyo Bure,nahisi Unamiliki Silaha Kinyume Cha Sheria Na Umeificha Sehemu,kama Kweli Unataka Kununua Bunduki Ya Kujilinda Hakukuwa Na Haja Ya Kutaka Maelekezo Kutoka Humu,ukishamaliza Legal Procedures Za Kumiliki Silaha,pale Pale Unaponunulia Silaha Yako Kuna Wataalamu Wanakufundisha Namna Ya Kuitumia Kama Hujui,bunduki Haziuzwi Kama Nguo Tu,unafika Dukani Unanunua Na Kuondoka Nayo.


Mambo yako mitandaoni wazi mchana kweupe we unajiogopesha bure hapa. . . . .Kila mtengenezaji kaweka video, audio na still pics za kutosha kuuzia bidhaa zake!!!!
 
NI HIVI: **** bunduki za aina nyingi, zipo za vitani km SM, AK 47, G3, Light Machine Gun, Heavy Mchine gun etc. Kuna bunduki za kuwindia na kuna bastola.
Bunduki za vitani ni automatic, kwa maana kwamba unapopoga risasi moja, inaruhusu nyingine kuingia chamber. Risasi hukaa kwenye kasha (magazine na nyingine huyumia mkanda). Kimsingi bunduki inafanya kazi kwa msaada wa spring iliyoshikilia cocking handle. Unapovuta cock nyuma na kuiachia, spring huiridisha kwa kasi hivyo kuiwezesha kuchota risasi kwenye kasha na kuiweka chamber tayari kupigwa. Kupoga unabonyeza triger, hapo utatokea mlipuko wa baruri iliyomo kwenye risasi nayo risasi itatoka kwa kasi. Risasi inapotoka, ule mshtuko utaisukuma nyuma cock na kurudi huku ikichota risasi nyingine na kuiweka chamber tena. Vitendo hivyo vyote hufanyika kwa sekunde moja. Hiyo ni automatic.
Bunduki za kuwindia mara nyingi sio automatic, hivyo risasi ikishalipuka, unacock tena ili risasi nyingine iingie chamber.

We kabila gan?
 
Back
Top Bottom