Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!
Maguful azomewa saaaaana leo
Waje tu af iwe ni mwendo wa ukombozi yaan km walivyong'oka KANU na CCM ifuate mkondo na natamani hata Magufuli abwage manyanga ili chama kife kabisa
kama kuja waje wote... isipokuwa jk..nape..kinanna..mwigulu.. makamba.. sita..lusinde.. na Wanaofanana nao.. ikiwa ukawa watawakubali nahama chama naanzisha cha kwangu nipate ruzuku niendelee kusavaivu hapa mjini..
waondoke tu hatuwahitaji, WATU WENYE AKILI TIMAMU NA WASAFI WATAENDELEA KUBAKI CCM
CCM ni ile ile
USHINDI NI ULE ULE
USHINDI NI LAZIMA
Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!
waondoke tu hatuwahitaji, WATU WENYE AKILI TIMAMU NA WASAFI WATAENDELEA KUBAKI CCM
CCM ni ile ile
USHINDI NI ULE ULE
USHINDI NI LAZIMA