Craig
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 1,676
- 3,138
Lipooooooooooooooo!!!
"Everything you heard is true" Mr Bean
Lipooooooooooooooo!!!
Usishangae magufuli nae akasepa,wewe unadhani kwa nini magufuli hasemi ccm oyee,badala yake utamsikia akisema either magufuli oye,au serikali ya magufuli au M4C au peopleeeees?Si Magufuli mwenyewe kasema..atashangaa kabaki na Bulembo asiyejua kusoma wala kuandika,posho zake anasaini kwa dole gumba
Inaonekana ww muda wote unawaza udini na ukabila hii inatokana na ukwel kwamba msemaji uliyem quote hajasema udini wowote lakini ww unakimbilia udini je hao wanaotaka kutoroka kwa maccm huko ni warutherani au wakaskazini? acha ujuha mm ni mu adventist na Kutoka Butiama na kura yangu ni kwa Lowasa kwakuwa kwa akili zangu makini siwezi kuwachagua watu ambao vinywa vyao vimejaza matusi na si hoja ya kwa nn watanzania waendelee kuwapa ridhaa.Wenzao wa ukawa wanasema kwa nn ccm wasichaguliwe lakini ccm wenyewe hawatwambii wamewafanyia nn watanzania muda wa miaka 50 ili wachaguliwe tena bali wao wanawambie watanzania tuchague mtu na wakati serikali itaundwa na watu wengi tena kutoka chama tawala ambacho kimeshindwa kuwasimamia watu wake!
Heshima mbele wanajukwaa!
Nimepenyeshewa taarifa na mtu wa karibu kabisa ndani ya chama chetu tawala kua mwanzoni mwa mwezi October kuna viongozi waandamizi ndani ya CCM wanategemea kujiunga na UKAWA na kumuunga mkono mgombea ndani ya umoja huo!
Hata hivyo mnyetishaji wangu huyo ambaye hakutaka kuendelea kunipa ushirikiano zaidi wa ukweli wa taarifa zake zaidi ya kuniambia kua" we elewa hivyo kua kutakua na kitu kama hicho muda ukifika" awali aliniambia kua sasa ni dhahiri kua kuna watu ambao wako ndani ya CCM lakini nyoyo zao zote ziko ukawa kitu ambacho kimempelekea mgomea wao kulalamika kasalitiwa! amesema kuna hata wengine ambao no wagombea ndani ya CCM na wengine wamo ndani ya timu ya watu 32 iliyoundwa na mwenyekiti wao wa chama taifa, na wanatamani kutoka muda wowote huko lakini wanaogopa.
Kwahiyo mwanajukwaa ni hayo tu niliyoyachota mahali japo sijathibitishiwa ukweli wa hayo zaidi ya kuambiwa kua kuna kitu kama hicho, Mimi na wewe hatuna jibu kamili tusubiri muda ufike tusikie.
Eti wakuu, hivi ile video clip ya Geita ni kweli au la!!? Mpaka leo bado nashangaa mjue!!
Ni zile assets/liabilities alizozitaja Slaa kuwa zitakuja na Lowassa UKAWA?