Bundi kutua tena CCM!

Bundi kutua tena CCM!

Hii taarifa imfikie Lizabon

Sasa hivi anafikiria kukopa angalau bajaji ya kutembelea maana baada ya kuingia lowasa ikulu lizabon hana kazi tena na gari la serikali atatakiwa kulikabidhi
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!

Inaonekana ww muda wote unawaza udini na ukabila hii inatokana na ukwel kwamba msemaji uliyem quote hajasema udini wowote lakini ww unakimbilia udini je hao wanaotaka kutoroka kwa maccm huko ni warutherani au wakaskazini? acha ujuha mm ni mu adventist na Kutoka Butiama na kura yangu ni kwa Lowasa kwakuwa kwa akili zangu makini siwezi kuwachagua watu ambao vinywa vyao vimejaza matusi na si hoja ya kwa nn watanzania waendelee kuwapa ridhaa.Wenzao wa ukawa wanasema kwa nn ccm wasichaguliwe lakini ccm wenyewe hawatwambii wamewafanyia nn watanzania muda wa miaka 50 ili wachaguliwe tena bali wao wanawambie watanzania tuchague mtu na wakati serikali itaundwa na watu wengi tena kutoka chama tawala ambacho kimeshindwa kuwasimamia watu wake!
 
waje fasta, kwanza baraza la mawaziri limechelewa sana kuvunjwa. ebu bosi kikwete afanye mambo chapu chapu watoroke uko fasta waje hizi pande za United States of Africa.
 
Possibility ni kubwa na ndiyo maana JK anachelewesha kulivunja baraza lake la mawaziri.
 
Mimi Nilikuwa Mwanaccm Tangu Mwaka 77 lakini sasa nilishaondoka tangu 2010

hivyo siasa siyo vita au ugovi. Nina marafiki zangu wengitu ndani ya chama cha mapinduzi.

Kiu kweli wananiambia hawana hamu na hiki chama tena. Maana chama wamehachiwa Wahuni, Kukiendesha ndio maana wanafanya kampeni za kihuni. Kutukana watu na kugeuza jukwaa gym yakufanyia mazoezi na kutembea na wanamziki na wachekeshaji. Utafikiri chama hiki kimekuwa Bongo Star search.badala ya kuwaambia wananchi Mambo ya Muhimu juu ya mustakabali wa nchi yao.

Mzee mmoja alikwenda Mbali kwa kusema Nyakati za Nyerere hakukuwa na Kampeni za kihuni kama sasa.

Chama kilikua kina jiheshimu mbele ya wananchi na Majukwaani. Lakini leo chama kimekua kama Danguro.

Wazee hawa wameni hakikishia watampa Lowassa kura nyingi sana tena wamenitonya. Ndani ya ccm kundi kubwa la wanachama wanamuunga mkono Lowassa.

Mwisho wa kuwanukuu:
My take.
Ccm mwaka huu mtaondoka kwa haibu kubwa sana, maana kura za lowassa nyingi zipo ndani ya ccm.
 
nimehisi kitu, "tutaanza kampeni rasmi october 1 by E.Lowasa" viva UKAWA, chichiem kwishney
 
Si Magufuli mwenyewe kasema..atashangaa kabaki na Bulembo asiyejua kusoma wala kuandika,posho zake anasaini kwa dole gumba
 
Tupo wengi ndani ya ccm tutatoka soon kuingia ukawa kunogesha mageuzi subirini kuanzia tarehe moja october ccm italia sana
 
Hakuna kitu kama hicho isipokuwa kilichopo ni kuwa Ukawa kuna mgogoro unatokota na soon kuna kitu kitalipuka. Wengi mtakuwa mmeobserve ukimya uliopo huko karibuni, sasa hii rumour itakuwa ni tactic ya kutuzubaisha wakati wakijaribu kufunikafunika uozo unaosambaa. Mtakuja kuniambia.

Mbinu za kuvuruga ukawa zote ziligonga mwamba kichapo kikali kwenye sanduku la kura october kinakuja
 
Mbinu za kuvuruga ukawa zote ziligonga mwamba kichapo kikali kwenye sanduku la kura october kinakuja
Hakuna mbinu zozote za kuichafua ukawa, wao wenyewe wanajivuruga. Hakuna Ukawa anaegusa Ikulu mwaka huu. Wangekuwa na uwezo huo wasingekuwa wanahangaika na ....au ngoja kwanza Nikae kimya. Nitawapa updates kwa muda muafaka juu ya madudu yao.
 
Tupo wengi ndani ya ccm tutatoka soon kuingia ukawa kunogesha mageuzi subirini kuanzia tarehe moja october ccm italia sana

Oyooooo!Mungu nipe uhai mie niweze kushuhudia hili gharika.
 
Back
Top Bottom