Bundi kutua tena CCM!

Bundi kutua tena CCM!

Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!

Unatumia mucus kufikiri si bure. Na magamba wengi uwezo wenu wa kufikiri umeishia hapo.
 
Hata Lowasa kuhamia Ukawa ilianza hivi hivi, Dr Slaa nae kusepa ilianza hivi hivi. So lolote litawezekana
 
waondoke tu hatuwahitaji, WATU WENYE AKILI TIMAMU NA WASAFI WATAENDELEA KUBAKI CCM
CCM ni ile ile
USHINDI NI ULE ULE

USHINDI NI LAZIMA

Wabaki huko huko na mauchafu yao. Ushindi gani wa lazima.
 
itabaki ile ile yenye misingi ya baba wa taifa maana wanaoondoka ni WATU WACHAFU, MAJIZI, MAFISADI, MAJAMBAZI , WANAOJINYEA NA WASIO WAADILIFU, ivo watakaobaki ni wale WENYE AKILI TIMAMU, WAADILIFU, WAAMINIFU, WENYE HOFU YA MUNGU KWA KUWA IKULU NI MAHALI PATAKATIFU. nadhani umeelewa sasa dogo

Hivi wewe hujawahi kunya.?
 
Bora kumpa kura Mtikila na sio Lowassa.
sina muda wa kupoteza na m**f* wameshiba viroba na ganja hawana muda wa kutafakari,wanafikiri kwa kutumia mdomo!.CHAGUA MAGUFULI kama unataka TANZANIA bora!

Sichagui ccm hata niwe maiti.mateso waliotupa wananchi tukiona wizi wa waziwazi mabiloni ya hela zinaibiwa hlf rais anasema si pesa za serikali mara hela ya madafu ni mwenye utindio wa ubongo ndie atakaeipigia kura ccm.
 
Bora kumpa kura Mtikila na sio Lowassa.
sina muda wa kupoteza na m**f* wameshiba viroba na ganja hawana muda wa kutafakari,wanafikiri kwa kutumia mdomo!.CHAGUA MAGUFULI kama unataka TANZANIA bora!

Ccm tena? Bora jiww sio ccm!
 
Wakipoona nimepita mafisadi wakaanza kuondoka wao wenyewe ila najua na wengne bado wamo ndan ya ccm" magufuri said: yawezekana hao walio salia nao ndo mda wai huo wakuondoka na kufuata wenzao waachen wandoke bhana
 
Wakipoona nimepita mafisadi wakaanza kuondoka wao wenyewe ila najua na wengne bado wamo ndan ya ccm" magufuri said: yawezekana hao walio salia nao ndo mda wai huo wakuondoka na kufuata wenzao waachen wandoke bhana

Kuna mafisadi wamebaki ccm? Ni kina nani hao?
 
Kulikoni hiyo breaking news ya Toroka uje ya Bahari beach leo??
 
..mtatafutana,torokeni mkakwee safina kabla haijang'oa nanga....muda unayoyoma isije ikala kwenu.
 
Back
Top Bottom