Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kwanza niwapongeze sana wakaazi wenzangu wote wa Bunda kwa kujitambua na kuamua kumpiga chini Stephen Masato Wassira kwa kishindo na kumchagua binti Bulaya; Asanteni sana na tutegemee mawazo mapya sasa na maendeleo ya jumla kutoka kwa mbunge shupavu Ester Bulaya.
Sasa ni wakati wa kula kichuuriii...
Sasa ni wakati wa kula kichuuriii...