Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,045
Hivi ana watoto? hepu tupieni picha za uzao wake hapa. Tujiliwaze baada ya makwapuzi ya kura.
Pamoja na kuangushwa sidhani kama ana wasiwasi wowote kwani atateuliwa na Magufuli
kwenye zile nafasi 10 za wabunge wa kuteuliwa. Au yeye (wassira) hastahili?[/Q
Kwanini umteue mtu ambaye wananchi wengi wamemkataa?
Akafanye nini bungeni huyu mzee wakati muda wote ni kupiga mbonji?
Kwanza niwapongeze sana wakaazi wenzangu wote wa Bunda kwa kujitambua na kuamua kumpiga chini Stephen Masato Wassira kwa kishindo na kumchagua binti Bulaya; Asanteni sana na tutegemee mawazo mapya sasa na maendeleo ya jumla kutoka kwa mbunge shupavu Ester Bulaya.
Sasa ni wakati wa kula kichuuriii...
Akafanye nini bungeni huyu mzee wakati muda wote ni kupiga mbonji?
Mara nyingi nikilalamika hivi huwa naachia nani.......sijui kwa mwenzangu huyu........hakuachia kweli........?......
Februari mauzi huyo