Mkuu Mmawia pongezi nyingi sana kamanda, tokea wahuni wauondoe mtandao huu hewani nilikosa namna ya kukupa pongeza.
Arusha tulifanyakazi yetu kwa sehemu na sasa tunasubiri kumpitisha Lema na ukizingatia tuna majeraha...........
Kwanza niwapongeze sana wakaazi wenzangu wote wa Bunda kwa kujitambua na kuamua kumpiga chini Stephen Masato Wassira kwa kishindo na kumchagua binti Bulaya; Asanteni sana na tutegemee mawazo mapya sasa na maendeleo ya jumla kutoka kwa mbunge shupavu Ester Bulaya.
Sasa ni wakati wa kula kichuuriii...
Hivi kumbe alipitia na upadri au macho yangu yananidaganya😱:sly::what:
Kuna jamaa yangu aliniambia kichwa ya namna hiyo ni senti ya kutosha sana..!!
ha ha ha mkuu nilikosa raha kutokuwa hewani kwa JF. Ni swaga kama hizi