Bunda tumeangusha Mbuyu

Bunda tumeangusha Mbuyu

Mkuu Mmawia pongezi nyingi sana kamanda, tokea wahuni wauondoe mtandao huu hewani nilikosa namna ya kukupa pongeza.

Arusha tulifanyakazi yetu kwa sehemu na sasa tunasubiri kumpitisha Lema na ukizingatia tuna majeraha...........

Aisee tafadhali sana kamanda msifanye kosa kabisa ni kuendeleza kipigo kwa hao wahuni
 
Last edited by a moderator:
Kwanza niwapongeze sana wakaazi wenzangu wote wa Bunda kwa kujitambua na kuamua kumpiga chini Stephen Masato Wassira kwa kishindo na kumchagua binti Bulaya; Asanteni sana na tutegemee mawazo mapya sasa na maendeleo ya jumla kutoka kwa mbunge shupavu Ester Bulaya.

Sasa ni wakati wa kula kichuuriii...

Hebu tujikumbushe...Mzee alisema ushindi ni saa 3 asubuhi

#MboweMustGo!
 
Kuna jamaa yangu aliniambia kichwa ya namna hiyo ni senti ya kutosha sana..!!
 
Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kuung'oa huo mbuyu. Amewadanganya wanabunda muda mrefu sana kushiriki kuleta maendeleo akaishia kulala bungeni.
 
Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kuung'oa huo mbuyu. Amewadanganya wanabunda muda mrefu sana kushiriki kuleta maendeleo akaishia kulala bungeni.

Sasa itabidi arudi kwao kuleeeee
 
Back
Top Bottom