Bulembo matatani uuzwaji shule ya sekondari Tegeta

Bulembo matatani uuzwaji shule ya sekondari Tegeta

kumbuka ndani ya nchi yetu ndo wanaamua kipi kifanyike na kipi kisifanyike,ndo wenye last voice,jitoe ufahamu tu
Not true at all..

Kama wao ndio KILA KITU, kwanini ukikaribia uchaguzi huja kwetu kwa unyenyekevu uliopita viwango???

Hudiriki kutupigia magoti, kulia, kugaragara kwa push up.... Tena udhalili wote huo huufanya hadharani mbele ya watoto..

Wangekuwa wao ndio kila kitu, vipi wakubali kujidhalilisha hivyo???!!!
 
Huyu alikuwa mdaiwa sugu wa halmashauri zetu.Iwe aaminiwe kwenye taasisi kubwa ya chama?
 
Back
Top Bottom