Hapo ndipo mwisho wa akili yake, kama elimu yake ndiyo inavyo julikana atawezaje kuipambanua bajeti. Jamaa yuko kama waandishi wa gazeti lile la kufungia vitumbua mitaa ya Kariakoo, maana nao walitoka na mpya jana.Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
Babamkwe ni genius sana.Kumbe ndio maana tunahitaji kubishana kwa hoja na so matusi kwani wengine ni "wakwe"
Hongera Ben Saanane
mwalimu kwanini usitafute kazi ya kufundisha kiswahili hapo lumumba?
swissme
kwa hiyo wewe uko na kazi lah asha.Tanzania hii kazi zakutafuta? We kweli umelala.
haya magamba ni shida....hiyo cherekochereko labda imo m@k@l10n1 mwake! watu wamekanadamizwa mpaka hawana pa kupulia halafu haya mafisi yanasifia ujinga!Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
wasubiri kusherekea vizuri hiyo CHEREKOCHEREKO mwaka 2020. CCM wamewakaidi wahisani na wafadhili, sasa wamegeuikia kuwakanadamiza wananchi....haya mafisi ni ya kuogopwa zaidi ya UKIMWI.Kwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
Mkuu pongezi kwa kuliona hilowasubiri kusherekea vizuri hiyo CHEREKOCHEREKO mwaka 2020. CCM wamewakaidi wahisani na wafadhili, sasa wamegeuikia kuwakanadamiza wananchi....haya mafisi ni ya kuogopwa zaidi ya UKIMWI.
Na ndio majembe ya chama chetu.....!Shule ni kitu cha msingi sana, Kamwe huwa simsikilizaji.
CCM walijenga lini na wapi?Go baba Magufuli Go.
Achana na CHADEMA wameshindwa hata kujenga ofisi ya chama!;!
kwa hiyo wewe uko na kazi lah asha.
swissme
plz tunajua umefunga,usitake tukuharibie saum.Jifunze kuandika vizuri.
Punguani wahed.
huyu ni kama nape, ni opportunist kichwani kajaza gas ya mtwaraKwanza anaanza kwa kuipongeza bajeti. Anasema bajeti hii ni chereko chereko kwa wananchi wote. Namnukuu "Tiyari(sio tayari) milioni 50 kila kijiji,tiyari mahakama ya mafisadi".
Akiongea na ITV ofisini kwake Bulembo anasema ahadi zitatekelezwa.
MY TAKE:Wana CCM jikiteni kwenye uchambuzi badala ya kuongea mambo jumla jumla tena juu juu.
plz tunajua umefunga,usitake tukuharibie saum.
Ninakupenda wakat huo huo nakuchukia[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Haribu kama unaweza.
Wewe swaum yangu inakuhusu nini?
Kimbelembele kama ushuzi wa ngomani.