Bulembo ahatarisha amani ya nchi, achukuliwe hatua!

Bulembo ahatarisha amani ya nchi, achukuliwe hatua!

Ukiwa wameshaona mziki wa CCM ni mzito. Wanakuja na kila sababu ya kutafuta pakutokea.

#HapaKaziTu
 
Utakuwa na mtindio wa ubongo ww,umeshindwa kabla ya uchaguzi
Kwa kioja hiki uliyoiwakilisha

Wewe ndiye utakuwa na mtindio wa ubongo ungekuwa na akili ungemshauri mjinga mwenzako Bulebo aache upumbavu wake wa kusema maneno ya kipumbavu ambayo yanahatarisha amani ya nchi yetu.
 
Lowassa ikulu anaingia,atayejaribu kupingana na nguvu ya umma atajuta kwa namna yoyote,,,tumeshajua wakuanza kuwashitaki pale fujo ztapotokea ktk uchaguz...Bulumbo,masakaburi,na viongozi wao wa chama kwa kutokemea kauli za wanachama wao...tunasubiri tuone kama NEC watakemea hizo kauli,wasipokemea nao ndani,,,watashitakiwa ICC na hapa Tz...wasome kilichotokea Ivory Coast,tena alyekuwa anagombea alkuwa incumbent president, matokeo yake yeye na mke wake wameishia jela,familia imeangamia...Tanzania ni ya wote,kwa hiyo wanaoapa kutokabidhi madaraka wajue Tz siyo mali yao ...TUTAWAFUNDISHA KWA KWELI,WASUBIRI
 
Nchi hii siyo mali ya ccm,na ni upumbavu kufikiri hivyo.Bulembo ni mpu.mbavu sana.
 
Labda ikulu ya monduli na si Dar
Kwa kukusaidia tu Lowassa ana kwenda kuchaguliwa kuwa rais wa Tanzania na atakuwa kwenye Ikulu ya Tanzania na hachaguliwi kuwa chifu mpaka awe kwenye Ikulu ya DSM au Monduli.
 
NAPE: "Tutashinda hata kwa goli la mkono!" Maana yake tutachakachua matokeo ikibidi.
BULEMBO: "Katu hatuwezi kuwaruhusu wapinzani kuingia Ikulu!" Maana yake tutatumia nguvu ukibidi.

Hizi ni kauli kutoka kwa viongozi waandamizi wa CCM! Hatari tupu!!

Hao wana akili za nvyisi
 
huyo bulembo ma.ku tu! kwani hiyo ikuru ni ya baba yake?
 
Safari hii hatudanganyiki watanzania tumeamua kumpeleka Lowassa Ikulu kwa gharama zetu wenyewe pasipo kutegemea gharama za mtu yeyote wa kijani,kama hawatakuwa tayari kukabidhi Ikulu kwa mtu ambaye watanzania tumehiari kumpeleka Ikulu,wao watafute nchi ya kwenda kuishi ambayo hawatakuwa tayari kuachia Ikulu,kama ni Tanzania hiihii tutanyooka nao mtaa kwa mtaa mpaka rangi zao za kijani hazita kuwa kijani tena tutazigeuza na kuwa nyekundu.

,,,,duuh raia mna hasira hahaaa#
 
yule mnayemnadi rais anayesubiriwa kuapishwa, mara hana msamiati wa kushindwa yeye anahatarisha amani ya nn?
ndorobooooooooo
 
Back
Top Bottom