Unachekesha kweli kweli wewe, nikuulize magufuli anamiliki ilani? Utanijibu lkn nikwambie hivi kwa mujibu wa katiba ya nchi serikali inayoundwa ni ya chama dola. hatuchagui mtu tunachagua chama na hii ni baada ya chama kutuelezea sera zake ndipo tunachagua. sasa kila chama kina mifumo yake, misingi yake,kina tabia yake,kina utaratibu wake,kina mazoea yake,kina misimamo yake Hivyo kwa tabia za ccm hatukitaki tena kimezalisha maadui wengine watatu zaidi Rushwa,Ufisadi na mizaha. kwa hiyo sasa tuna maadui 6
1Ujinga
2Umaskini
3Maradhi
4Rushwa
5Ufisadi
6Mizaha
Ili taifa lisonge mbele,liondoke hapa lilipo kwama ni lazima ccm kife kiingie makumbusho kama KANU, leo kenya na rwanda zipo dunia ya 2 sisi bado tupo dunia ya 3 ujinga kabisa!