Bulembo ahatarisha amani ya nchi, achukuliwe hatua!

Bulembo ahatarisha amani ya nchi, achukuliwe hatua!

CCM mziki wake ni mnene, tulisema humu, msije mkasema mnaibiwa. Mshaanza mapema. Kuna wezi nchi hii zaidi ya wachagga?

Mmeanza mapema, mafuriko yamezuiliwa kwa dole!

#HapaKaziTu
Hilo dole labda limekuingia wewe
 
Huo ndio ukwelu mbona mnataka watu wawaamini mtashinda ninyi wakati sote tuna wafuasi wengi,na ole wenu mlete fujo kwenye vituo
 
Hizo ndio kauli za kichochezi,ambazo serikali isizifumbie macho,ikumbukwe kila mtanzania ana haki ya kuliongoza taifa hili na cio chama kimoja
 
Bulembo ni darasa la saba,ajui adhali za maneno yake,msamehe bure!
 
Huo ndio ukwelu mbona mnataka watu wawaamini mtashinda ninyi wakati sote tuna wafuasi wengi,na ole wenu mlete fujo kwenye vituo

Tunawaombea kwa Mungu aendelee kuwaweka hai mpaka tarehe 25 mshuhudie mnavyochomolewa Ikulu.
 
Back
Top Bottom