Bulembo aendelea kuvuruga amani Makambako

Bulembo aendelea kuvuruga amani Makambako

Wameisoma namba si CCM wala police Watanzania wameamua.Magufuli hajajua kuwa Bulembo anamharibia kila kitu.Magufuli tumemwambia vihiyo kama Bulembo awafukuze hataki amevaa tintedi shauri yake atajilaumu


Magufuli na Bulembo wote wako sawa tu kielimu na ufahamu. Ndiyo maana wanakwenda pamoja. Hakuna mtu aliyemaliza darasa la saba atasema SADDAM alikuwa raisi wa Libya, samahani Kuwait!. Hii ni cadre ya kina Magufuli na Bulembo tu!
 
Tatizo la CHADEMA wanachama wao wanakunywa viroba.Hawafuatilii hata Tume ya uchaguzi inachoagiza.Na viongozi nao wa CHADEMA ni kunywa viroba tu hawawaelimishi wanachama wao sheria za mikutano.

Hairuhusiwi mtu wa chama kingine kwenda mkutano wa mtu wa chama kingine kwenda kuzomea au kumfanyia fujo .Unaruhusiwa kwenda kusikiliza si kuzomea au kufanya fujo.

Wakipigwa na virungu na mabomu kwa kuingilia mikutano ya watu kwa kuzomea au kufanya fujo wanaanza kupiga yowe ohh!! POLISI WANATUONEA.Hilo haliongezi kura linawapunguzia.Kwani watu wanawaona CHADEMA ni watu wasiojali sheria.Ukiwapa nchi watakuwa hawazingatii utawala wa sheria.Kama hili tu la kuzingatia sheria za mikutano hawawezi wakipewa nchi wataweza?

Mkutano kama haukuhusu una uhuru wa kwenda au kutokwenda.Usiende kufanya fujo mikutano ya watu wengine.CHADEMA PUNGUZENI UNYWAJI VIROBA.

Lakini ktk sheria za uchaguzi kuna kipengere cha kuzui kutoa lugha za matusi na kashifa dhidi ya mgombea,
 
Lakini ktk sheria za uchaguzi kuna kipengere cha kuzui kutoa lugha za matusi na kashifa dhidi ya mgombea,

Mfano mgombea anaumwa na anaumwa kweli anashindwa hata kupanda jukwaani na kuhutubia ukisema yule mgombea anaumwa ni kashfa au lugha ya matusi ambayo unatakiwa uzomewe?
 
Duh! Hivi kweli CCM wamekosa watu hadi wamtumie retarded Bulembo!? Nani asiye jua huyu jamaa ni kichwa maji na hajui kujenga hoja wala kutetea sera!?
 
Mbona walikuwa wametulia kabla swali hilo? Kosa alilofanya ni kimkashifu baba yao baada ya kutambua uwepo wao. Ilitakiwa awamwagie sera ili wahame, ni kukosa akili huko
 
Tatizo la CHADEMA wanachama wao wanakunywa viroba.Hawafuatilii hata Tume ya uchaguzi inachoagiza.Na viongozi nao wa CHADEMA ni kunywa viroba tu hawawaelimishi wanachama wao sheria za mikutano.

Hairuhusiwi mtu wa chama kingine kwenda mkutano wa mtu wa chama kingine kwenda kuzomea au kumfanyia fujo .Unaruhusiwa kwenda kusikiliza si kuzomea au kufanya fujo.

Wakipigwa na virungu na mabomu kwa kuingilia mikutano ya watu kwa kuzomea au kufanya fujo wanaanza kupiga yowe ohh!! POLISI WANATUONEA.Hilo haliongezi kura linawapunguzia.Kwani watu wanawaona CHADEMA ni watu wasiojali sheria.Ukiwapa nchi watakuwa hawazingatii utawala wa sheria.Kama hili tu la kuzingatia sheria za mikutano hawawezi wakipewa nchi wataweza?

Mkutano kama haukuhusu una uhuru wa kwenda au kutokwenda.Usiende kufanya fujo mikutano ya watu wengine.CHADEMA PUNGUZENI UNYWAJI VIROBA.

wewe acha kupayuka bure kwani wewe unafikiri ccm wanapomkashifu Lowasa kila siku majukwaani na kumuita mgonjwa wewe unaona hilo ni sawa?? mtazomewa tu maanake hamna namna.
 
Kwa hili mimi nawarushia lawama tume ya uchaguzi wao wakiwa kama refa kipindi hiki wanatakiwa wakemee kauli za matusi zinazotowela majukwaani na wanasiasa lakini cha ajabu tume wao wanaangalia zaidi upande mmoja tu huku upande wa pili wakiwa kimya Haya ndio matokeo ya kukosa tume huru
 
Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.

CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.

Tatizo la kulelewa kusoma ili ujibu mtihani na kufaulu linatuharibia watz..soma uzi mzima wa mtoa mada uone kama utaendelea kuuliza maswali.

Issue sio kunyoosha vidole walizomea pale alivyoanza kujinadi kwa kutumia maneno mbovumbovu ya kusema lowasa mgonjwa..

Mwambieni akienda arusha nako aseme hayo km hajarudi kwenye sanduku
 
Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.

CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.

Acha kutetea ujinga wewe kwanza mimi namsifu sana Lowasa kwa uvumilivu mkunwa aliouonyesha!! hivi ingetokea mbowe akauliza ccm mpoo wakaitikia tupooo afu hapo hapo akaanza kushambulia mgombea wenu mambo ya hovyo wewe ungejisikiaje? kubalini ccm siku hizi hamna sera za kistaarabu zaidi ya matusi rejea kauli za Msukuma, Lusinde bulembo n.k
 
mnapozungumzia viroba na wanywaji wake mnasahau kutuambia wanaovitapanya kila sehemi ili vinywewe muda wote bila kujalu saa za kazi wala madhara yake.

Ahsanteni CCM kwa kutengeneza maradhi mapya na kuua uzazi na nguvu kazi ya taifa.
 
Ndg yangu Bulembo acha siasa za maji taka,zimepitwa na wakati,wambie wananchi mtawafanyia nini iwapo mtashinda,la sivyo kila utapokwenda utazomewa!
 
Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.

CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.
Sasa asingekashifu afya ya mtu kwani angezomewa???Nini Lengo lake kuuliza kama wanachama wa chadema wapo kwenye mkutano huo??
 
Huyu Bulembo hivi sera yake ni ugonjwa wa Lowasa tu hana cha kuambia wananchi CCM imefanya ndani ya miaka 54 na inatarajia kufanya nini?!

Labda anawaambia ki-fasihi kuwa ndani ya miaka 54 CCM imefanikiwa kumroga Lowassa na kumfanya mgonjwa...labda!
 
Ndg yangu Bulembo acha siasa za maji taka,zimepitwa na wakati,wambie wananchi mtawafanyia nini iwapo mtashinda,la sivyo kila utapokwenda utazomewa!

Kweli hatutaki kusikia kashfa za lowasa au sumaye tuelezeni mmetufanyia nini na mnakusudia kufanya nini kujinyea mgonjwa sii kauli ya kistaarabu kwa nchi hii ya amani
 
Tatizo la kulelewa kusoma ili ujibu mtihani na kufaulu linatuharibia watz..soma uzi mzima wa mtoa mada uone kama utaendelea kuuliza maswali.

Issue sio kunyoosha vidole walizomea pale alivyoanza kujinadi kwa kutumia maneno mbovumbovu ya kusema lowasa mgonjwa..

Mwambieni akienda arusha nako aseme hayo km hajarudi kwenye sanduku

Akipeleka upuuzi huo Arusha kuna hatari "BWANA aliyetoa atatwaa (ili) jina lake lihimidiwe"...kwa hiyo achunge sana, huyo Bulembo na Musukuma.
 
Yehodaya acha ukilaza na wewe, Huyo kilaza mwenzio asingeleta kashfa kwa EL wangezomewa????? Kuzomewe ilikuwa stahiki yao. Peopleeeeeeeez
 
Kweli hatutaki kusikia kashfa za lowasa au sumaye tuelezeni mmetufanyia nini na mnakusudia kufanya nini kujinyea mgonjwa sii kauli ya kistaarabu kwa nchi hii ya amani

Kamfundishe lowasa na Sumaye cha kuongea CCM hatuhitaji mwalimu wa hotuba toka Ukawa mtu akiwa fisadi CCM tunamwita fisadi.sIO KAMA NYIE VINYONGA LEO MNAMWITA lowasa FIsadi kesho sio fisadi .Hamna msimamo mwaweza uza nchi nyie.Nchi hutaka mtu na chama chenye msimamo
Lowasa alihukumiwa na bunge kuwa ni fisadi na ni mgonjwa.CCM walimkata kwa kuwa ni mgonjwa na alihukumiwa na bunge.
Jukwaani tulieni Bulembo awaambie ya ugonjwa ya Lowasa
 
Kuanzia Mgombea wao Mzee wa Kuwait na waliopo kwenye team ya Kampeni wote vilaza balaa.
 
Huu ni puuzi mwingine kutoka kwa magamba....wanaenda kuomba kura kwa wanaccm au watanzania? Wanatoa sera za ilani yao kwa wanaccm au kwa watu wote wakiwemo hao wafausi wa chadema ili washawishike na kuichagua ccm....? Hawa jamaa ni janga la taifa....
 
Back
Top Bottom