Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.
CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.