YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,033
Magufuli anatumia nguvu nyingi na lowassa anatumia akili nyingi nani mjanja hapo?
Hivi kujinyea hadharani jukwaani ni kutumia akili nyingi na ni ujanja?
Magufuli anatumia nguvu nyingi na lowassa anatumia akili nyingi nani mjanja hapo?
Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.
CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.
Hivi kujinyea hadharani jukwaani ni kutumia akili nyingi na ni ujanja?
Kama ndiyo Mgombea Raisi mwenyewe ndiyo huyo ni heri Mwanamziki Sugu angegombea Uraisi.
Kamati nzima ya Kampeni ya Watu 30 wameshindwa kumsahauri yapi ya kufanya jukwaani?
Hii ni aibu tupu!. Huyu bwana ndiyo maana anafahamu Idadi ya Mabarabara kwa sababu Elimu ya Kemia imemharibia kiasi fulani ya Akili.Shida ya Tanzania yetu kutokuwa na maabara za kueleweka kufanya kwa Vitendo huwaacha walimu na Wanafunzi kukariri tu na matokeo yake ndiyo hayo.
Duh mbavu zangu jamani, bado kidogo ataonyesha jinsi anavyoweza kukamua bao tano!
Hivi kujinyea hadharani jukwaani ni kutumia akili nyingi na ni ujanja?
Jeshi la police limeishambulia kwa mabomu ya machozi office za CHADEMA Makambako Iringa na kutawanya wananchi walioondoka kwenye mkutano wa CCM na Magufuli Jana
Wananchi hao walidaiwa kumzomea bulembo kwenye mkutano huo wa magufuli kwenye mji mdogo wa makambako
Ofisa wa kampeni wa CHADEMA Aldo Mlote aliwatuhumu police kwa kutumika vibaya kukibeba CCM kila kinaposhindwa hoja majukwaani. Mloto alisema police walirusha mabomu kwenye office za chadema na kuwakamata watu kumi na tano
Alisema mabomu hayo yalirushwa baada ya Bulembo kuuliza kama kwenye mkutano huo kuna wafuasi wa CHADEMA ambapo wengi waliokuepo kwenye mkutano huo walinyoosha vidole viwili juu kumaanisha kuwa wapo
Ndipo Bulembo alipoanza kumkashifu Edward Lowassa kuwa ni mgonjwa jambo lililosababidha azomewe mpaka kushindwa kuendelea kuongea.
Kabla ya mkutano huo kulikua na madai kuwa kadi za CHADEMA ziligawiwa watu na kupewa 30,000 kila mmoja ili wazirudishe kwenye mkutano huo kumfurahisha Magufuli mbinu iliobainika na watu mapema.
Ndipo baadhi ya watu walienda kutoa taarifa katika office za CHADEMA Hivyo katika mchezo huo walibaki watu watano waliorudisha kadi hizo
Pamoja na Magufuli kuomba wamchague mkutano huo ulifungwa huku watu waliokua kwenye mkutano huo wakiondoka kuzifuata office za CHADEMA kwa shamrashamra na nyimbo kitu kilichofanya police kuwatawanya kwa mabomu.
My take
Watu wameichoka CCM kila mkutano wa CCM na Magufuli si wote ni wana CCM kwa sasa watu wanataka mabadiliko ya UKAWA na Lowassa.
bulemboo ndio chanzo cha fujo! kwa mini, why..?¿ humsemi!¡Tatizo la CHADEMA wanachama wao wanakunywa viroba.Hawafuatilii hata Tume ya uchaguzi inachoagiza.Na viongozi nao wa CHADEMA ni kunywa viroba tu hawawaelimishi wanachama wao sheria za mikutano.Hairuhusiwi mtu wa chama kingine kwenda mkutano wa mtu wa chama kingine kwenda kuzomea au kumfanyia fujo .Unaruhusiwa kwenda kusikiliza si kuzomea au kufanya fujo.Wakipigwa na virungu na mabomu kwa kuingilia mikutano ya watu kwa kuzomea au kufanya fujoi wanaanza kupiga yowe ohh!! POLISI WANATUONEA.Hilo haliongezi kura linawapunguzia.Kwani watu wanawaona CHADEMA ni watu wasiojali sheria.Ukiwapa nchi watakuwa hawazingatii utawala wa sheria.Kama hili tu la kuzingatia sheria za mikutano hawawezi wakipewa nchi wataweza? Mkutano kama haukuhusu una uhuru wa kwenda au kutokwenda.Usiende kufanya fujo mikutano ya watu wengine.CHADEMA PUNGUZENI UNYWAJI VIROBA.
Tatizo jingine lililoanzisha zomea zomea ni kumkashifu el kua ni mgonjwa
Kama ndiyo Mgombea Raisi mwenyewe ndiyo huyo ni heri Mwanamziki Sugu angegombea Uraisi.
Kamati nzima ya Kampeni ya Watu 30 wameshindwa kumsahauri yapi ya kufanya jukwaani?
Hii ni aibu tupu!. Huyu bwana ndiyo maana anafahamu Idadi ya Mabarabara kwa sababu Elimu ya Kemia imemharibia kiasi fulani ya Akili.Shida ya Tanzania yetu kutokuwa na maabara za kueleweka kufanya kwa Vitendo huwaacha walimu na Wanafunzi kukariri tu na matokeo yake ndiyo hayo.
Tatizo la bulembo alianza kumkashifu LOWASA mbele wa wafuasi wke ambao ndio walikuwa wengi uwanjani hapo, baada ya kugundua wapo alitakuwa ajaribu kubadili msimamo wao kwa sera safi siyo matusi.Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.
CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.
Kati ya taasisi/shule ninazoziheshimu ni Seminary. Kazi ya kuchuja watu siyo sawa na kuchuja juice. Huyu walimuona mapema kuwa hataweza kazi za kiroho, yaani hawezi hata kuficha hisia za kitoto. Namvulia kofia dr. Cassava jinsi alivyoweza kupenya hadi kupata daraja la upadre. Ila ndo hivyo Mungu na usanii ni sawa na Samweli Sitta na vigezo vya ccm vya mgombea uspika wa bunge la kumi.
Huo sasa utoto haufanyi kuwa ni halali kuzomea au kufanya fujo
Chadema WALIPOENDA MKUTANO wa CCM walitarajia Bulembo amwage sifa kawa Lowassa? Ni sawa kwenda mkutano wa Lowasa na kutarajia Lowasa amwage sifa kwa Magufuli!
Ukienda mkutano wa kampeni wa chama kingine jipange.Usitarajie kusikia unayoyapenda au unayotaka kusikia.Ukiona huna maini ya uvumilivu kwa yanayoongelewa au yatakayoongelewa kwenye chama kisicho chako ni bora ujikalie nyumbani.Ukijiona una mihemko ya kuzomea au kufanya vurugu mikutano ya watu wengine wakiongea usiyotaka kusikia jikalie nyumbani. Usije ukarudi na ngeu bure ya kupigwa na wanachama wenye hasira ulioenda kuwazomea au ukapata ngeu kwa kupigwa virungu na polisi kwa kuendesha zomea zomea mikutano ya watu au kufanya vurugu mikutano ya watu.
Huo ni ushauri wa bure
Huo sasa utoto haufanyi kuwa ni halali kuzomea au kufanya fujo
Chadema WALIPOENDA MKUTANO wa CCM walitarajia Bulembo amwage sifa kawa Lowassa? Ni sawa kwenda mkutano wa Lowasa na kutarajia Lowasa amwage sifa kwa Magufuli!
Ukienda mkutano wa kampeni wa chama kingine jipange.Usitarajie kusikia unayoyapenda au unayotaka kusikia.Ukiona huna maini ya uvumilivu kwa yanayoongelewa au yatakayoongelewa kwenye chama kisicho chako ni bora ujikalie nyumbani.Ukijiona una mihemko ya kuzomea au kufanya vurugu mikutano ya watu wengine wakiongea usiyotaka kusikia jikalie nyumbani. Usije ukarudi na ngeu bure ya kupigwa na wanachama wenye hasira ulioenda kuwazomea au ukapata ngeu kwa kupigwa virungu na polisi kwa kuendesha zomea zomea mikutano ya watu au kufanya vurugu mikutano ya watu.
Huo ni ushauri wa bure
Hizo ndiyo sera zake kila anapopita, ila kitendo cha kuuliza uwepo wa wanachama wa chama pinzani na kuthibitisha kisha kuanza kuwatukania mtu wao ni cha kulaaniwa. Alistahili kuzomewa na ingekuwa huku kwetu, "chaa iyoiyo nchale tu alafu mi navuka kwenda kuchubilia kula nchumbiji"
.
Hivi mgombea kujinyea jukwaani kwenye mkutano wa kampeni kunasaidia kufikia malengo uliyoandika hapa? Watu wasiseme kuna mgombea mgonjwa hafikii malengo ya kutangaza sera za chama chake badala yake anaishia kujinyea jukwaani bila kutangaza sera za chama chake?Ngoja nikuulize,hivi unajua malengo ya kampeni ni nini?Malengo ya kampeni ni kunadi sera za chama kinachowakilishwa kwa dhumuni la kuwashawishi wafuasi waliopo wa chama husika waendelee kukiunga mkono
Huwezi mtu wa chama kingine kumfundisha mtu wa chama kingine aongee nini kwenye mkutano wa chama chake aliouitisha kwa pesa zake.Wewe wa chama kingine kama hutaki matatizo ukijiona huwa una tabia ya kukasikirika akisemwa mtu wako au chama chako kaa mbali na mikutano ya kampeni kipindi hiki cha uchaguzi usije jinyonga bure kwa hasira ya unayoyasikia au ukaishia jela au kutiwa majeraha.
Kilichokupeleka mikutano ya watu ni nini wakati huna uvumilivu wa kisiasa wala ubavu wa kuhimili matusi? Ona sasa unavyohemka shughuru polisi hawakukudaka wakakuvunja miguu na akina Bulembo hawakushuka kukupa kipigo kwa kuwazomea kwenye mkutano wao halali wenye vibali vyote.
Hivi kujinyea hadharani jukwaani ni kutumia akili nyingi na ni ujanja?