Bulembo aendelea kuvuruga amani Makambako

Bulembo aendelea kuvuruga amani Makambako

Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.

CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.

Tatizo jingine lililoanzisha zomea zomea ni kumkashifu el kua ni mgonjwa
 
Kama ndiyo Mgombea Raisi mwenyewe ndiyo huyo ni heri Mwanamziki Sugu angegombea Uraisi.

Kamati nzima ya Kampeni ya Watu 30 wameshindwa kumsahauri yapi ya kufanya jukwaani?
Hii ni aibu tupu!. Huyu bwana ndiyo maana anafahamu Idadi ya Mabarabara kwa sababu Elimu ya Kemia imemharibia kiasi fulani ya Akili.Shida ya Tanzania yetu kutokuwa na maabara za kueleweka kufanya kwa Vitendo huwaacha walimu na Wanafunzi kukariri tu na matokeo yake ndiyo hayo.

Sio elimu ya kemia imeharibu kichwa. Ana asili ya ukichaa. Ndio maana aliacha ualimu
 
Jeshi la police limeishambulia kwa mabomu ya machozi office za CHADEMA Makambako Iringa na kutawanya wananchi walioondoka kwenye mkutano wa CCM na Magufuli Jana

Wananchi hao walidaiwa kumzomea bulembo kwenye mkutano huo wa magufuli kwenye mji mdogo wa makambako

Ofisa wa kampeni wa CHADEMA Aldo Mlote aliwatuhumu police kwa kutumika vibaya kukibeba CCM kila kinaposhindwa hoja majukwaani. Mloto alisema police walirusha mabomu kwenye office za chadema na kuwakamata watu kumi na tano

Alisema mabomu hayo yalirushwa baada ya Bulembo kuuliza kama kwenye mkutano huo kuna wafuasi wa CHADEMA ambapo wengi waliokuepo kwenye mkutano huo walinyoosha vidole viwili juu kumaanisha kuwa wapo

Ndipo Bulembo alipoanza kumkashifu Edward Lowassa kuwa ni mgonjwa jambo lililosababidha azomewe mpaka kushindwa kuendelea kuongea.

Kabla ya mkutano huo kulikua na madai kuwa kadi za CHADEMA ziligawiwa watu na kupewa 30,000 kila mmoja ili wazirudishe kwenye mkutano huo kumfurahisha Magufuli mbinu iliobainika na watu mapema.

Ndipo baadhi ya watu walienda kutoa taarifa katika office za CHADEMA Hivyo katika mchezo huo walibaki watu watano waliorudisha kadi hizo

Pamoja na Magufuli kuomba wamchague mkutano huo ulifungwa huku watu waliokua kwenye mkutano huo wakiondoka kuzifuata office za CHADEMA kwa shamrashamra na nyimbo kitu kilichofanya police kuwatawanya kwa mabomu.

My take
Watu wameichoka CCM kila mkutano wa CCM na Magufuli si wote ni wana CCM kwa sasa watu wanataka mabadiliko ya UKAWA na Lowassa.

Hahahahahaha safiiiii
 
Tatizo la CHADEMA wanachama wao wanakunywa viroba.Hawafuatilii hata Tume ya uchaguzi inachoagiza.Na viongozi nao wa CHADEMA ni kunywa viroba tu hawawaelimishi wanachama wao sheria za mikutano.Hairuhusiwi mtu wa chama kingine kwenda mkutano wa mtu wa chama kingine kwenda kuzomea au kumfanyia fujo .Unaruhusiwa kwenda kusikiliza si kuzomea au kufanya fujo.Wakipigwa na virungu na mabomu kwa kuingilia mikutano ya watu kwa kuzomea au kufanya fujoi wanaanza kupiga yowe ohh!! POLISI WANATUONEA.Hilo haliongezi kura linawapunguzia.Kwani watu wanawaona CHADEMA ni watu wasiojali sheria.Ukiwapa nchi watakuwa hawazingatii utawala wa sheria.Kama hili tu la kuzingatia sheria za mikutano hawawezi wakipewa nchi wataweza? Mkutano kama haukuhusu una uhuru wa kwenda au kutokwenda.Usiende kufanya fujo mikutano ya watu wengine.CHADEMA PUNGUZENI UNYWAJI VIROBA.
bulemboo ndio chanzo cha fujo! kwa mini, why..?¿ humsemi!¡
 
Tatizo jingine lililoanzisha zomea zomea ni kumkashifu el kua ni mgonjwa

Huo sasa utoto haufanyi kuwa ni halali kuzomea au kufanya fujo
Chadema WALIPOENDA MKUTANO wa CCM walitarajia Bulembo amwage sifa kawa Lowassa? Ni sawa kwenda mkutano wa Lowasa na kutarajia Lowasa amwage sifa kwa Magufuli!

Ukienda mkutano wa kampeni wa chama kingine jipange.Usitarajie kusikia unayoyapenda au unayotaka kusikia.Ukiona huna maini ya uvumilivu kwa yanayoongelewa au yatakayoongelewa kwenye chama kisicho chako ni bora ujikalie nyumbani.Ukijiona una mihemko ya kuzomea au kufanya vurugu mikutano ya watu wengine wakiongea usiyotaka kusikia jikalie nyumbani. Usije ukarudi na ngeu bure ya kupigwa na wanachama wenye hasira ulioenda kuwazomea au ukapata ngeu kwa kupigwa virungu na polisi kwa kuendesha zomea zomea mikutano ya watu au kufanya vurugu mikutano ya watu.

Huo ni ushauri wa bure
 
Kama ndiyo Mgombea Raisi mwenyewe ndiyo huyo ni heri Mwanamziki Sugu angegombea Uraisi.

Kamati nzima ya Kampeni ya Watu 30 wameshindwa kumsahauri yapi ya kufanya jukwaani?
Hii ni aibu tupu!. Huyu bwana ndiyo maana anafahamu Idadi ya Mabarabara kwa sababu Elimu ya Kemia imemharibia kiasi fulani ya Akili.Shida ya Tanzania yetu kutokuwa na maabara za kueleweka kufanya kwa Vitendo huwaacha walimu na Wanafunzi kukariri tu na matokeo yake ndiyo hayo.

Kati ya taasisi/shule ninazoziheshimu ni Seminary. Kazi ya kuchuja watu siyo sawa na kuchuja juice. Huyu walimuona mapema kuwa hataweza kazi za kiroho, yaani hawezi hata kuficha hisia za kitoto. Namvulia kofia dr. Cassava jinsi alivyoweza kupenya hadi kupata daraja la upadre. Ila ndo hivyo Mungu na usanii ni sawa na Samweli Sitta na vigezo vya ccm vya mgombea uspika wa bunge la kumi.
 
Hili mbona ni swali la kawaida tu kwenye mkutano ya kisiasa? Mtoa hotuba aweza uliza wanawake mpo???? Wanajibu tupo.Anauliza wanaume mpoooo???? Wanajibu tupo.Anauliza vijana mpoooo??? Wanajibu tupoOOO?? Sasa nongwa ganbi kuuliza CHADEMA mpoooo?? ILitakiwa wajibu tupoooo bila kumzomea wala kufanya vurugu yeyote.SABABU MIKUTANO yote wanakuwepo wanachama wa vyama tofauti tofauti na wasio na vyama ambao huja pale kusikiliza ili tarehe 25 october waamue wampigie nani.CHADEMA siasa za vyama vingi inaonyesha wako nyuma sana.Hawajui ustaarabu wa mikutano.Hata CCM kibao mbona wanaenda mikutano ya CHADEMA? ILA HUWA WANAENDA KUSIKILIZA SI KUZOMEA AU KUFANYA FUJO.

CHADEMA makambako mnachotaka kusema ni kuwa ruksa kwa wanachama wa vyama vingine kuja mikutano yenu kuzomea na kufanya vurugu? Jifunmzeni ustaarabu wa kisiasa mikutano.Mngejibu tupo na mkamsikiliza kimya na msiporidhika mngejiondokea kimywa kwani hamkubebwa na lori wala fuso kuja mikutanoni mmejileta wenyewe.
Utamaduni wa kwenda kuzomea watu kwenye mikutano yao ambayo sio yenu utawagharimu mkipigwa na wanachama wao wenye hasira au polisi msipige yowe.
Tatizo la bulembo alianza kumkashifu LOWASA mbele wa wafuasi wke ambao ndio walikuwa wengi uwanjani hapo, baada ya kugundua wapo alitakuwa ajaribu kubadili msimamo wao kwa sera safi siyo matusi.
 
Kati ya taasisi/shule ninazoziheshimu ni Seminary. Kazi ya kuchuja watu siyo sawa na kuchuja juice. Huyu walimuona mapema kuwa hataweza kazi za kiroho, yaani hawezi hata kuficha hisia za kitoto. Namvulia kofia dr. Cassava jinsi alivyoweza kupenya hadi kupata daraja la upadre. Ila ndo hivyo Mungu na usanii ni sawa na Samweli Sitta na vigezo vya ccm vya mgombea uspika wa bunge la kumi.

Basi SS hakuutaka Uspika kwani Ulaya ingeshindikana kitu?
 
Ngoma Si yako unaicheza ya nini? mliipelekewa roli? au mlidhani yanagawa viroba. Msiba si wako unaubebea ndizi. kama chakula hakipo?
hilo ndugu zangu si jema ila ni fujo. Hao wanasiasa kwa taarifa zenu huwa wanaugomvi wa majukwaani tu. baada ya hapo ni marafiki. ndo maana mlitukanaaa lowasa fisadi akiwa ccm lakini mbowe huyo huyo kajichukulia. sasa huko tanga wanasema, hicho unachoringia wenzako tulisha ponda wala dhamani hakina ni ganda la muwa la jana.
 
Huo sasa utoto haufanyi kuwa ni halali kuzomea au kufanya fujo
Chadema WALIPOENDA MKUTANO wa CCM walitarajia Bulembo amwage sifa kawa Lowassa? Ni sawa kwenda mkutano wa Lowasa na kutarajia Lowasa amwage sifa kwa Magufuli!

Ukienda mkutano wa kampeni wa chama kingine jipange.Usitarajie kusikia unayoyapenda au unayotaka kusikia.Ukiona huna maini ya uvumilivu kwa yanayoongelewa au yatakayoongelewa kwenye chama kisicho chako ni bora ujikalie nyumbani.Ukijiona una mihemko ya kuzomea au kufanya vurugu mikutano ya watu wengine wakiongea usiyotaka kusikia jikalie nyumbani. Usije ukarudi na ngeu bure ya kupigwa na wanachama wenye hasira ulioenda kuwazomea au ukapata ngeu kwa kupigwa virungu na polisi kwa kuendesha zomea zomea mikutano ya watu au kufanya vurugu mikutano ya watu.

Huo ni ushauri wa bure

Hizo ndiyo sera zake kila anapopita, ila kitendo cha kuuliza uwepo wa wanachama wa chama pinzani na kuthibitisha kisha kuanza kuwatukania mtu wao ni cha kulaaniwa. Alistahili kuzomewa na ingekuwa huku kwetu, "chaa iyoiyo nchale tu alafu mi navuka kwenda kuchubilia kula nchumbiji"

Ccm wamwage sera na kurudiarudia ahadi zao hewa badala ya kumuongelea Lowassa, sana sana mnatuzidishia ari ya mabadililo.
 
Kweli CCM imeishiwa watu wenye akili safi,waliobakia pale ni vilaza watupu ukiwemo wewe unaeshabikia umbumbumbu wa Bulembo.Ngoja nikuulize,hivi unajua malengo ya kampeni ni nini?Malengo ya kampeni ni kunadi sera za chama kinachowakilishwa kwa dhumuni la kuwashawishi wafuasi waliopo wa chama husika waendelee kukiunga mkono na pia kuwashawishi wale wafuasi wa Upinzani na wasio na vyama kukiunga mkono chama hicho,kwa bahati mbaya sana akina Bulembo hawaelewi siasa hizi za hoja kwasababu ya uduni wa maarifa na uelewa walio nao kuhusu masuala muhimu yanayogusa maendeleo ya wananchi na nchi hii,hivyo wanakimbilia kubwaga matusi na lugha zisizo na staha ambazo hazistahili kusikilizwa na watu wanaijiheshimu na wanaojielewa.Busara,hekima na uelewa wa Magufuli tumeanza kuvipima kuanzia kipindi hiki cha kampeni,tunapata picha nzima ya aina ya kiongozi tutakayekuwa naye,so far I am not impressed with him,ameshindwa kuidhibiti timu yake ya kampeni anayozunguka nayo mikoani, timu ambayo imejaa madomo kaya na waropokaji wasiojiheshimu,wenye ufahamu mdogo na wasiojua kuchagua maneno ya kuyatumia wanapoongea,hata utawala wake utakuwa hivyo hivyo,utakuwa utawala wa hovyo kabisa kuwahi kutokea ktk historia ya nchi hii.No...we won't make that mistake.
Huo sasa utoto haufanyi kuwa ni halali kuzomea au kufanya fujo
Chadema WALIPOENDA MKUTANO wa CCM walitarajia Bulembo amwage sifa kawa Lowassa? Ni sawa kwenda mkutano wa Lowasa na kutarajia Lowasa amwage sifa kwa Magufuli!

Ukienda mkutano wa kampeni wa chama kingine jipange.Usitarajie kusikia unayoyapenda au unayotaka kusikia.Ukiona huna maini ya uvumilivu kwa yanayoongelewa au yatakayoongelewa kwenye chama kisicho chako ni bora ujikalie nyumbani.Ukijiona una mihemko ya kuzomea au kufanya vurugu mikutano ya watu wengine wakiongea usiyotaka kusikia jikalie nyumbani. Usije ukarudi na ngeu bure ya kupigwa na wanachama wenye hasira ulioenda kuwazomea au ukapata ngeu kwa kupigwa virungu na polisi kwa kuendesha zomea zomea mikutano ya watu au kufanya vurugu mikutano ya watu.

Huo ni ushauri wa bure
 
Hizo ndiyo sera zake kila anapopita, ila kitendo cha kuuliza uwepo wa wanachama wa chama pinzani na kuthibitisha kisha kuanza kuwatukania mtu wao ni cha kulaaniwa. Alistahili kuzomewa na ingekuwa huku kwetu, "chaa iyoiyo nchale tu alafu mi navuka kwenda kuchubilia kula nchumbiji"

.

Huwezi mtu wa chama kingine kumfundisha mtu wa chama kingine aongee nini kwenye mkutano wa chama chake aliouitisha kwa pesa zake.Wewe wa chama kingine kama hutaki matatizo ukijiona huwa una tabia ya kukasikirika akisemwa mtu wako au chama chako kaa mbali na mikutano ya kampeni kipindi hiki cha uchaguzi usije jinyonga bure kwa hasira ya unayoyasikia au ukaishia jela au kutiwa majeraha.

Kilichokupeleka mikutano ya watu ni nini wakati huna uvumilivu wa kisiasa wala ubavu wa kuhimili matusi? Ona sasa unavyohemka shukuru polisi hawakukudaka wakakuvunja miguu na akina Bulembo hawakushuka kukupa kipigo kwa kuwazomea kwenye mkutano wao halali wenye vibali vyote.
 
Ngoja nikuulize,hivi unajua malengo ya kampeni ni nini?Malengo ya kampeni ni kunadi sera za chama kinachowakilishwa kwa dhumuni la kuwashawishi wafuasi waliopo wa chama husika waendelee kukiunga mkono
Hivi mgombea kujinyea jukwaani kwenye mkutano wa kampeni kunasaidia kufikia malengo uliyoandika hapa? Watu wasiseme kuna mgombea mgonjwa hafikii malengo ya kutangaza sera za chama chake badala yake anaishia kujinyea jukwaani bila kutangaza sera za chama chake?
 
Huwezi mtu wa chama kingine kumfundisha mtu wa chama kingine aongee nini kwenye mkutano wa chama chake aliouitisha kwa pesa zake.Wewe wa chama kingine kama hutaki matatizo ukijiona huwa una tabia ya kukasikirika akisemwa mtu wako au chama chako kaa mbali na mikutano ya kampeni kipindi hiki cha uchaguzi usije jinyonga bure kwa hasira ya unayoyasikia au ukaishia jela au kutiwa majeraha.

Kilichokupeleka mikutano ya watu ni nini wakati huna uvumilivu wa kisiasa wala ubavu wa kuhimili matusi? Ona sasa unavyohemka shughuru polisi hawakukudaka wakakuvunja miguu na akina Bulembo hawakushuka kukupa kipigo kwa kuwazomea kwenye mkutano wao halali wenye vibali vyote.

Suluhisho sio wananchi wanaokereketwa na kauli hizi kutohudhuria. Suluhisho ni wanasiasa kufanya siasa safi.

Kama Bulembo alishadhibitisha kwamba wafuasi wa EL wapo pale mkutanoni kwake, angejenga hoja nzuri na kuwapatia sera safi za kuwabadili fikra zao ili wabadilike. Ila sio kwa kumtukana EL.
 
CCM sikio la kufa halisikii dawa naona mnatapa tapa sasa kama kuku wa kuchinjwa.
 
Back
Top Bottom