Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hapa ni mangi mkuu mareale akiwa ktk ikulu yake Moshi mwaka 1952 aliootembelewa na mtoto wa malkia Elizabeth
Mangi mareale alikuwa msomi wa masters kutoka Cambridge University
VP hao kina mirambo walikuwa na elimu gan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kumuumbua huyu muongo, nilishamwambia ukatoliki ulianzia Kilimanjaro kabla ya kagera lkn anakuwa mbishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ongea history ya ukristu Tanzania bila kuitaja bukoba

Kwanza seminary ya Kwanza tz Rubya
Seminary kuu ya Kwanza ya mtakatifu Leo Rubya
Mapadre wa kwanza tz wanatoka bukoba
Askofu wa kwanza mtanzania bukoba
Kardinali wa Kwanza mweusi duniani bukoba
Askofu mkuu wa kwanza balozi wa papa bukoba
Nadhani mpaka Pope WA Kwanza mweusi atatoka bukoba
Kumbuka bukoba ni white fathers waliotoka uganda hebu tazama hiyo picha uamini niliokwambia

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Picha zoote ulizoweka hazijafikia hata nusu ya ubora wa mtaa wa majengo kwa mtei pâle moshi achilia mbali shirimatunda,Shanti town,kcmc au pasua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mkuu muungwana akivuliwa nguo huchutama,naona mzee kinusikwetu kakuvua nguo unaulizwa SEMA sehemu yoyote bk akujibu unakodoa kodo hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha zoote ulizoweka hazijafikia hata nusu ya ubora wa mtaa wa majengo kwa mtei pâle moshi achilia mbali shirimatunda,Shanti town,kcmc au pasua

Sent using Jamii Forums mobile app
Una ubavu gani wa kusema bukoba ni takataka wakati ina mitaa iliyojengeka .mtaa huu maarufu kama kyebitembe km 5 kutoka town unajengeka Kwa Kasi huku migheto ya maana ikiporomoshwa naomba uniletee mitaa ya moshi mi naleta nyamkazi,kashura,kibeta,anyama, kagondo kaifo na karugulu pamoja na kyakairabwa.hebu tazama migheto hapo kyebitembe

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kwako hiyo ni migeto? Vinyumba visivyopakwa hata rangi? Kamtaa hako nakushindanisha na mtaa wa mwika pale Moshi vijijin maana nikikupa mtaa wa Moshi mjin itakuwa ni matusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…