luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
Wahaya mmesikia hii?Chana cha ushirika (co-operative society) ya kwanza Africa ni KNCU. Na chuo cha Ushirika ndio the oldest co-operative institution in Africa na pia the Moshi Co-operative University ndio Chuo Kikuu pekee Afrika kinachotoa degree in co-operative education in Africa. Chuo hiki ni moja kati ya few East African centers of excellency. Ni pamoja na Mweka Wildlife College ambacho kinatoa pia degree in wildlife management.
Hivi ww mtu upo Sawa kichwan? Yaan ufananishe huu uozo na moshi?Sasa kuna kitu gani hapo zaidi ya bukoba, kweli we jamaa unahangaika sana kuinusuru Moshi dhidi ya Bukoba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikwambia ulete kanisa kuu la Jimbo yaani cathedral ulinganishe na la kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa wa 3 kwa umaskini utawezaje kunigaragaza mkoa wa 2 kwa makaz bora na gdp kubwa kwa wananchi? Labda mlinigaragaza kwa kula senene na kuzaliana hovyo kama kumbukumbi
Tumeamua kuwaumbua maana nyie ni maskin wa kutupa huku mkijitapa na mbwembwe kumbe nothingTatizo wameanza kusema wenyewe huwezi palinganisha na Bukoba. Miji mingine haipo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hapa sitaweza kupajua kuwa ni bukoba sehemu Gan hahahahaHaha, duniani hamna mtu muongo kama wewe. Ukiulizwa hapo ni Bukoba sehemu gani hata huwezi kusema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ww mtu upo Sawa kichwan? Yaan ufananishe huu uozo na moshi?View attachment 1012668
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili hapa .ndo unataka ulinganishe na mater misercodie cathedral ya bukoba.ingawa kuna parokia kama Rubya na itahwa ni kubwa zaidi ya cathedral hiyo.kwenye upande wa dini msiongeee kabisa Kwa sababu bukoba ukatoliki na ulutheri umechimba mizizUnajua Christ the King Cathedral ndio largest cathedral in Tanzania nitakuletea picha.
Sifa Gam wakati ninawaumbua kwa fact?Naona mkuu leo umeachwa uongee, kweli we jamaa una sifa za kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali litaletwa tu hapo nimeanza kupasha mitambo kwa kukupa ya vijijinNilikwambia ulete kanisa kuu la Jimbo yaani cathedral ulinganishe na la kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili hapa .ndo unataka ulinganishe na mater misercodie cathedral ya bukoba.ingawa kuna parokia kama Rubya na itahwa ni kubwa zaidi ya cathedral hiyo.kwenye upande wa dini msiongeee kabisa Kwa sababu bukoba ukatoliki na ulutheri umechimba mizizView attachment 1012676
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo ni kuujulisha umma kuwa bk ni ya hovyo despite mbwembwe nyingi za mtandaonOf course hupat usingizi maana unalazimisha kwenye post kuingiza Bukoba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Great historySure nimeona basi yetu mapigo sita hiyo yenye carrier nyeupe benford, nimeiona smaa bus, kishimbo bus, safari rally bus,Frontline na mengine kibao
Hahahaha pole mkuu picha zimekuchoma kunako moyo,jitulize na chupa ya rubisi hahaha na kitafuna zile kahawa zenu za kukaangaMnarudia mambo ambayo tunaongea kila siku ila hamsikii. Kwenye nyuzi nyingine huko kuna mapicha kibao hatuhitaji kurudia kama mnavyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii bus nilipanda mwaka 83 Moshi to Dom via kondoa 48 hrs
Hilo ndo unalinganisha na cathedral ya bukoba .yaani linazidiwa na kigango cha bugandika huko kizibaUsijali litaletwa tu hapo nimeanza kupasha mitambo kwa kukupa ya vijijin
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha eti mji mdogo, sasa unafikiri kweli watakuhamini kwa hizo pumbaLengo ni kuujulisha umma kuwa bk ni ya hovyo despite mbwembwe nyingi za mtandaon
London ndio inaninyima usingizi
Bk nakupatia mamlaka ya mji mdogo wa himo/tarakea ndio level Yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimanjaro ndipo wamisionary walitangulia