jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 630
mnatuumbua kwa hizo picha za gest za vyumba vitatu .mlivyojenga kwa msaada wa rambirambi?Mlituchokoza kwa kuanzisha nyuzi kuiponda bk sasa tunawaumbua endeleeni tu kutuchokonoa mtaaibika ile mbaya shida bukoba ni mbali hivyo wengi wanaiskia tu na sasa hawaamini wanachokiona wanaishia kusema moshi siyo ya kufananisha na vitu vya hovyo ambayo havijulikani kweli mapovu yanawatoka
yan niumbuke kwa vi pcha vya gest bubu mlivyojenga kwa msaada wa rambirambi?Uongo na majungu havijengi. Aliyekwambia nani? Wivu utakuua.habar ndo hiyo ,angalia usilie bado nawaletea picha motomoto ukizingatia bk ni pana sana vilima 70% ya mji sijavigusa bado.utaumbuka sana mwaka huu
chema chajiuza kibaya chajitembezaManeno yapo hadi kwenye kanga .kujitapa hakusaidii bila evidence ni ukosefu wa elimu na utoto
Hakuna mhaya wa kuhangaika ku compare Bukoba yake na huo uchafu wa Moshi. Wachaga ndo mnahanaika kujilinganisha na Bukoba. Kwanza ni aibu kwa mhaya kujilinganisha na mchaga. Ni kujishusha. Angalia nyuzi nyingi humu zimeanzishwa ama na wachaga wenyewe au wenye mrengo wa kuchukia wahaya. Nadhani unanielewa vizuriUna ajenda binafsi .. Kama kutangaza vivutio kwanini usiji compare na mikoa mingine kama arusha, mwanza au iringa , why KLM ??
Nikwa sababu unapima ukabila kutaka kujitutumua dhidi ya wachaga..
Waache hao wakenya watangaze kuwa klm ipo kwao mwisho wasiku njia yakwenda huo mlima ipo kwetu lango moja.. Watalii wote wanakuja kulala Moshi na wata panda wakiwa moshi na wata lipia hotel za moshi..Busara ya mwerevu ni ukimnya siyo sifa.. Badala ya kuacha shughuli zetu ktumia muda wetu kubwata kuhusu kLM wapo mabwege kama wakenya wana tu tangazia na hela inakuja ..wewe pia kama ilivyo ada ya sifa kwenu unaweza ukasema klm upo kwenu.. Chaga not bother at all... Asili yetu ni kutega kama kobe pesa iingiie kilaini ..kupitia wabwataji..
Hicho kiingereza chenyewe kina matege jamani! Mchaga na kizungu wapi na wapi Meku??Read btn the line..
No need to respond in every post even where irrelevant is obvious..
chema chajiuza kibaya chajitembezaMlituchokoza kwa kuanzisha nyuzi kuiponda bk sasa tunawaumbua endeleeni tu kutuchokonoa mtaaibika ile mbaya shida bukoba ni mbali hivyo wengi wanaiskia tu na sasa hawaamini wanachokiona wanaishia kusema moshi siyo ya kufananisha na vitu vya hovyo ambayo havijulikani kweli mapovu yanawatoka
Acha kuvuta wewe. Mtu gani wa Bukoba alinganishe Bukoba au Mwanza (Kanda ya ziwa) na huo uchafu wenu wa kaskazini?? Ni kujishusha kabisa maana sisi tunajua tupo level tofauti kabisa. Angalieni nyuzi nyingi mnaanzisha nyie na mnagalagazwa. MkomeNyie watu wa Bukoba na Mwanza, mna tatizo gani na mikoa ya Kaskazini? maana mnaiwaza sana, kila siku kulinganisha Mwanza vs Arusha, mara Bukoba vs Moshi, fanyeni kazi acheni upuuzi kulinganisha mambo ya mikoa kwani, mtanzania yoyote kila mkoa ni wake, mtu wa Moshi anaweza kuishi Bukoba, so Bukoba ikiendelea ni faida kwake pia, ugomvi wa nini?
Au ndio mnataka kuleta ukabila hapa? Pumbavuu sana
Wewe jamaa utakuja uweke hata picha za vyumbani. Kagera sijui bukoba ni uwenda wazimu kuifananisha na moshi. Yaani kwa majengo tu lile eneo la hospitali ya kcmc ni zaidi ya mji wenu wote. Moshi na badhi ya wilaya za mkoa wa kilimanjaro kuna huduma nzuri za kijamii kulika mikoa yote labda dsm tu.
Ombi
Acha kufananisha Moshi na vitu vya kijinga
Unadhani Bukoba na Kagera unaijua peke yako??? Yaani katika yote umeona stend ndo shida. Tunakupa miezi tu utakosa cha kiandika.Duuuuu naweza sema naijuwa bukoba vizuri sana. Kuanzia BUKOBA MJINI, VIJIJINI, MISENYI, KARAGWE,nk.yaani kifupi naijuwa KAGERA. Kiukweli kuilinganisha BUKOBA MJINI NA MOSHI MJINI ni kituko sana. Labda mseme moshi haina fukwe za Ziwa tuu lakini vingine vyote hapana. Stendi yenyewe tope. Zikipaki gari kubwa 30 imejaa kabisa. Ivo ukiwa umeshatembelea na Moshi uje.
Sasa unafikiri hotel ulizoziona ni za nini? Usifiki bukoba sio mji wa kitalii pia? Tena ni wengi kweli bukoba ni mji wa kihistoria na unatembelewa sana ndo maana mkulu anataka kupanua bk airport maana safari za ndege ni nyingiMoshi ni mji wa kitalii, BK unaweza kumaliza mwezi bila kumwona mzungu
Aliyekwambia ruge ndie aliyeiba ni nani? Angalia yasije kukuta ya kusekwa rumandedadadeki. utatokwa povu hadi ufe
mda huu tupo kula bats home nyie c mmetelekeza kwenu?
at I mnabaguliwa ktk taasisi mnachekesha
kuhusu wez kuna wizi mkuu kuliko escow? hivi yulemhusika mkuu wa escrow n wawapi?
hamtakaa mtufkie kmwe,endeleen kujidanganya na tu picha twa hotel ambato kwetu ni gest bubu
Ni kweli mkuu. Maana nimekumbuka kwenye vyeti feki vilivyoshughulikiwa na mkuku Kilimanjaro ndo iliongoza na mwenzake Arusha. Samahani kwa kusema ukweli banduguAlafu kingine ni kwamba wakati huu wengi wapo uko kijijini Kilimanjaro na wameshindwa kuonyesha picha. Wamebaki kubwabwaja tuu, Mara ivi Mara vile. Mimi nilishangaa sana walivyokuwa wanaongea eti Kilimanjaro. Watu wanawajua wachaga kuliko wao wanavyojiona. Wahaya wamekuwa wanabaguliwa na kufanyiwa fitina na wachaga katika taasisi nyingi ambazo wao wengi wamejazana kwa kubebana bebana, MTU hana elimu lakini yupo kwenye kazi kinachomlinda ni Ushirikina na uchawi ndio unaowaweka katika ofisi, na kingine ni kufoji vyeti. Hawa jamaa ni wababaishaji sana katika mambo na ni wezi kishenzi. Kama sasa ivi, maeneo ya Dar es salaam yamekuwa magumu kwa ufugaji wa ng'ombe na nguruwe kwa sababu ya wizi.
Nami nayajua maeneo yote ya Moshi. Baba mmepitwa mbali. We chukua kombe la mbege utulizie machunguNasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
Nina imani umeandika haya umejishika kiuno kwa nyodo. Maana mshakuwa mashangingi kwa maneno. Picha walaaaaa.Anayeifananisha Moshi na bukoba ni yule tu anaye amini mwanamke anaweza bila kuwezeshwa,kwamba moshi uifananishe na kituko gani....
Leta hizo za Moshi. Acha maneno unajidhalilishamnachekesha nyie washamba hicho ki hotel kule moshi n kama guest house
tatizo ushamba wenu hamjawah ona mijengo nyie nimecheka sana
Kweli we kibibi.dadadeki. utatokwa povu hadi ufe
mda huu tupo kula bats home nyie c mmetelekeza kwenu?
at I mnabaguliwa ktk taasisi mnachekesha
kuhusu wez kuna wizi mkuu kuliko escow? hivi yulemhusika mkuu wa escrow n wawapi?
hamtakaa mtufkie kmwe,endeleen kujidanganya na tu picha twa hotel ambato kwetu ni gest bubu
Lol! Elimu bado muhimu sana. Yaani katika point na hii ya kuona wazungu tuiite point? Hebu kuweni watu basi jamani.Moshi ni mji wa kitalii, BK unaweza kumaliza mwezi bila kumwona mzungu
Naona mmegeukia methali sasa wenzetu maana pambio zimeishachema chajiuza kibaya chajitembeza