Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Watu tumeshajua mbivu na mbichi hatufanganyiki tena. Hata waalikane wote wachangie kwa ngonjera, tunataka picha za kwao tu. Za Bukoba waziache. Wamebakiza takwimu kwenye makaratasi tu sasa
Alafu kingine ni kwamba wakati huu wengi wapo uko kijijini Kilimanjaro na wameshindwa kuonyesha picha. Wamebaki kubwabwaja tuu, Mara ivi Mara vile. Mimi nilishangaa sana walivyokuwa wanaongea eti Kilimanjaro. Watu wanawajua wachaga kuliko wao wanavyojiona. Wahaya wamekuwa wanabaguliwa na kufanyiwa fitina na wachaga katika taasisi nyingi ambazo wao wengi wamejazana kwa kubebana bebana, MTU hana elimu lakini yupo kwenye kazi kinachomlinda ni Ushirikina na uchawi ndio unaowaweka katika ofisi, na kingine ni kufoji vyeti. Hawa jamaa ni wababaishaji sana katika mambo na ni wezi kishenzi. Kama sasa ivi, maeneo ya Dar es salaam yamekuwa magumu kwa ufugaji wa ng'ombe na nguruwe kwa sababu ya wizi.
 
Instabul bana..kuna mahali nimeona unapasifia moshi kweli kweli
 
Stendi inajengwa mpya bro kyakairabwa na inakamilika mei .shida mna maneno mengi na kama ulikuja 2010 usifikiri bk haijabadilika .imebadilika sana hasa baada ya tetemeko
 
Stendi inajengwa mpya bro kyakairabwa na inakamilika mei .shida mna maneno mengi na kama ulikuja 2010 usifikiri bk haijabadilika .imebadilika sana hasa baada ya tetemeko
Nasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
 
Nasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
Sisi tunaendelea kuwapa picha za bk hii ni perfect hotel bukoba na hapa ndo makao makuu ya kolping tz
 
Anayeifananisha Moshi na bukoba ni yule tu anaye amini mwanamke anaweza bila kuwezeshwa,kwamba moshi uifananishe na kituko gani....
 
Nasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
hawa wat n washamba hatari
yaan hivo vi picha vya guest bubu at I ndo mijengo ya kifahari kwao najichekea mwenyewe
 
Anayeifananisha Moshi na bukoba ni yule tu anaye amini mwanamke anaweza bila kuwezeshwa,kwamba moshi uifananishe na kituko gani....
Mlituchokoza kwa kuanzisha nyuzi kuiponda bk sasa tunawaumbua endeleeni tu kutuchokonoa mtaaibika ile mbaya shida bukoba ni mbali hivyo wengi wanaiskia tu na sasa hawaamini wanachokiona wanaishia kusema moshi siyo ya kufananisha na vitu vya hovyo ambayo havijulikani kweli mapovu yanawatoka
 
mnachekesha nyie washamba hicho ki hotel kule moshi n kama guest house
tatizo ushamba wenu hamjawah ona mijengo nyie nimecheka sana
Maneno yapo hadi kwenye kanga .kujitapa hakusaidii bila evidence ni ukosefu wa elimu na utoto
 
dadadeki. utatokwa povu hadi ufe
mda huu tupo kula bats home nyie c mmetelekeza kwenu?
at I mnabaguliwa ktk taasisi mnachekesha
kuhusu wez kuna wizi mkuu kuliko escow? hivi yulemhusika mkuu wa escrow n wawapi?
hamtakaa mtufkie kmwe,endeleen kujidanganya na tu picha twa hotel ambato kwetu ni gest bubu
 
kumbe mnajenga kwa kutumia rambirambi duh
Uongo na majungu havijengi. Aliyekwambia nani? Wivu utakuua.habar ndo hiyo ,angalia usilie bado nawaletea picha motomoto ukizingatia bk ni pana sana vilima 70% ya mji sijavigusa bado.utaumbuka sana mwaka huu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…