Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hoi hoi hazijaisha bado mwendo wa starehe holiday inn resort
 
Hebu tuone na hii smart oil and supermarket kibeta bukoba wahaya endeleeni kuwekeza bwana kesho ntawaletea mijengo iliyo under construction nikianza na ihungo geneva ndogo na shopping mall na stendi
 
Kwa mijengo its over bk iko juu hiyo ni ihungo estate na ujenzi unaendelea moshi mpo na bado nawakusanyia picha za bk
Juzi tarehe 16/12/2017 waziri Jafo alifika hapa akaomba wasipatamani wakapageuza kuwa chuo kikuu wapaache hivyohiyvo ili liwe eneo la kipekee hapa Tanzania maana kwa hadhi ile panafaa kuwa chuo kikuu
 
Weka picha, sio unabwabwaja kama mfereji wa maji taka weka ushaidi. Hakuna hats mmoja aliyeweza kupiga picha ya kuonyesha sehemu ya Maana. Maneno mengi kama wanawake wa kizaramo
mkuu huku tulishawamaliza wamekimbia na kwenda kuanzisha nyuzi nyingine huko et bk inazidiwa na biharamulo!!!!
mnachekesha
itachukua miaka 50 bk ifikie mosh ktk nyanja za maendeleo
 
Weka picha, sio unabwabwaja kama mfereji wa maji taka weka ushaidi. Hakuna hats mmoja aliyeweza kupiga picha ya kuonyesha sehemu ya Maana. Maneno mengi kama wanawake wa kizaramo
mkuu huku tulishawamaliza wamekimbia na kwenda kuanzisha nyuzi nyingine huko et bk inazidiwa na biharamulo!!!!
mnachekesha
itachukua miaka 50 bk ifikie mosh ktk nyanja za maendeleo
Juzi tarehe 16/12/2017 waziri Jafo alifika hapa akaomba wasipatamani wakapageuza kuwa chuo kikuu wapaache hivyohiyvo ili liwe eneo la kipekee hapa Tanzania maana kwa hadhi ile panafaa kuwa chuo kikuu
ushamba bhana
kwenu nyie hicho kijengo ndo mjengo mkali duh
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…