Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Bukoba ilitangazwa manispaa 1999 kumbe hauifahamu bukoba wewe na picha bado tena hii ni baada ya tetemek
 
Yaani moshi hamna kitu zaidi ya jengo moja tu hilo la blue, alafu kusema vijijini moshi pako vizuri mbona bk safi tu. Anyway wachagga acheni sifa za kijinga mdogo wangu yuko moshi analia na joto kali huko
 
Hahaha...!!!

Badala ufananishe Moshi na Mwanza eti unafananisha na Bukoba?

Umenichekesha sana kumbe moshi ndo wakwanza kujisifu HF mnawasingizia wahaya moshi na mwz wapi na wap
 
Yaani unafananisha halmashauri ya mji na manispaa, wapi a wapi ndugu, hivi walioipa moshi hadhi ya manispaa unafikiri ni wajinga.
Kumbe huifahamu bukoba ilikuwa manispaa zamani
 
Tuliza kitenesi mama, nshomile anataka ligi ya majengo na uzuri baada ya kugundua tayari wachaga wameshwapiga bao kwenye elimu
Elimu wee shule ilyoongoza kitaifa la saba na form four elfu 2016 ni ya wapi nshomile bado ipo urithi
 
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Hahaha...!!!

Badala ufananishe Moshi na Mwanza eti unafananisha na Bukoba?



Moshi nahisi kunafanana na Mbeya si Bukoba
 
Ina maana moshi inaizidi Dom Moro na iringa kama sikosei kahama wanawazidi
Mkuu hivi umeshaitembelea hiyo miji kwanza? Moshi IPO juu mkuu nawameshaomba kupandishwa hadhi ya jiji ambapo kikwazo kilikua ni ukubwa wa eneo tu na ilo wameshalifanyia kazi wamebaki kutangazwa tu.
 
Tuliza kitenesi mama, nshomile anataka ligi ya majengo na uzuri baada ya kugundua tayari wachaga wameshwapiga bao kwenye elimu
na huyu je si Wa bukoba achana na nshomile wewe
 
Kodi mnakusanya ngapi kwanza? Kilimanjaro kwa mwaka ni zaidi ya Billion 140
Umeshangaa eti ooh ndo bukoba hiyo mwenye wivu ajinyonge baba half rudia saida aliwaimbia
 
Moshi the great city....
Chagga land
Chagganian.........
 
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari
 
Niliwai kufika bukoba pia moshi nisawa na kulinganisha manzese na posta moshi pazuri licha ya Uzuri wake pia ni moja mji msafi sana bukoba pachafu baathi ya sehemu lami hamna kiukweli bado sana izo picha zimepigwa kwajuu tu ila chini hatari
Ulifika lini bk wewe uijui vizur
 
Moshi padogo pasafi bukoba pakubwa sio pasafi Sana ila ukienda bukoba muleba missenyi na karagwe uko ndo watu wanajenga kwa jeuri
 
Kuna amani Hanna matukio ya uhalifu pia watu wa kule wakarimu sana sio wabaguzi kama unavyoonagaga jamii za wamasai, wameru na wachaga kdg kule arusha
Mkuu nimekaa Bukoba, sijawahi kuona jamii za kibaguzi kama Kagera. Usifananishe hayo makabila ya Kaskazini na Kabila la Kagera. Kuna ubaguzi mkubwa kama kuuza bidhaa kulingana na lafudhi ama kuongea kilugha mpaka stendi ya mkoani? Vipi kuhusu kusengenya wengine kilugha hata mnapokuwa wawili tu wa kabila hilo? Walahu Wachagga,Wamasai na Wameru wanaheshimu watu wengine wasio wa kabila lao na kuzungumza Kiswahili, labda itokee hawajui kiswahili.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…