Mpambano bado unaendelea. Labda tu mi niwaambie kitu binafsi Bukoba nimeishi tena kashai kwa hiyo maeneo Mengi nayafahamu kama hamgembe,Nyakanyasi,lwamishenye,kahololo, lugambwa ,ihungo,ibwela.mitaa ya Ghana kule lakini kwa Moshi Bukoba bado sana tuwe tu wakweli kwa hilo tena moshi nimefika na nimeenda mpaka uru kishumundu bush huko.kwa hiyo ukweli ubaki kuwa ukweli tu