Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Moshi panazidi Bukoba kwa kila sifa Wahaya wakipiga ela ukimbilia ng,ambo mimi ni Muhaya ila ukweli Wahaya wenye ela niwabinafsi wanatumia Bukoba kama maziko tu wakifa wanakuja kuzikwa tu.
Kuna mijitu humu naamini kabisa kwa moyo wa dhati walikuwa wanapasikia moshi na hawajawahi kufika walikuwa wanataka waone hata kwa picha ndio maana wamekazania leta picha sasa tukiamua kuleta na zile za katikati ya migomba na kahawa sindo mtalia kabisa.
Ukiongelea stendi bukoba ni kweli haipo kwenye hadhi ya kuitwa stendi kuu ya mji soko pia haliko kwenye ubora hii pia hata kwa moshi stendi na soko ni yale yale ila moshi itapata sifa ya usafi
Moshi panazidi Bukoba kwa kila sifa Wahaya wakipiga ela ukimbilia ng,ambo mimi ni Muhaya ila ukweli Wahaya wenye ela niwabinafsi wanatumia Bukoba kama maziko tu wakifa wanakuja kuzikwa tu.