Ulishafika vijiji vya bkukitaka kulinganisha anzia vijijini, moshi barabara zote za kwenda vijijin ni lami tupu, na vijijin nyumba za kuishi ni nzuri kuliko makao makuu ya mji wa bukoba wakati bukoba wahaya wananunua voxy kama gari ya kutembelea vijijin rombo ndo gari ya abiria toka mwaka 2013
Wenyewe wahaya hawaendi huko ataenda fanya nini mboga yake moshi mbuzi choma bukoba senene ataanzaje kwenda hko kula seneneUlishafika vijiji vya bk
wachaga wamepiga kitabu wanatumia fursaWanajidai au ni kweli tena wanasomea kwenye vyuo vyenu na kuwabwaga.unafikiri vinawasaidia basi.shida mna opportunity nyingi na hamzitumii vyuo vyote hivyo vingekuwa bk sijui pangefananaje.shida ubaguzi Wa wahaya na wivu ndio maana inakuwa hivyo
Mwaka kesho ndio mwisho wa kumalozia nyumba zote ambazo siyo imara moshi upepo uliyopita bukuba nisawa na unao pita moshi sema nyumba za moshi ni imarazaidiukitaka kulinganisha anzia vijijini, moshi barabara zote za kwenda vijijin ni lami tupu, na vijijin nyumba za kuishi ni nzuri kuliko makao makuu ya mji wa bukoba wakati bukoba wahaya wananunua voxy kama gari ya kutembelea vijijin rombo ndo gari ya abiria toka mwaka 2013
ww kwwli haunazo yaani hivyo vigorofa vyenye UFA ndio tupate homa?Mkuu waache unawapa homa bure
ww kwwli haunazo yaani hivyo vigorofa vyenye UFA ndio tupate homa?
bukob itachukua miaka 100 kufanana na moshi
Mkuu mmi natoka bkb naninatembelea Mara kwa Mara bkb na moshi.Tuweke ushabiki pembeni,aisee moshi wapo mbali mno tena kwenye mahotel usiguse kabisaHotel nyingine hizo bukobakyanyi resort kiroyera coffee hotel Stella hotel transit hotel yassira
Leta za moshi tuoneww kwwli haunazo yaani hivyo vigorofa vyenye UFA ndio tupate homa?
bukob itachukua miaka 100 kufanana na moshi