Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Tuache unazi Moshi huwezi kufananisha na Bukoba,hakuna asiyejua mji wa Moshi ulivyo katika mpangilio,majengo mazuri na bora,achilia mbali usafi ambao mpaka sasa bado ni mji unaoongoza kwa hali ya usafi.Sina maana ya kuishusha Bukoba,Bukoba ni mji mzuri tena sana tu,Ila huuwezi kufananisha Bukoba na Moshi ni vitu viwili vyenye utofauti!!!!
 
yan hawa wahaya n majigambo tu hawana kingine
Kule kwao bkb hata mabasi yanayofanya safar n ya watu wa moshi kina prince muro,kidia,osaka
Waambie basi wasilete mabasi tu wajenge na kwao moshi, naona bk imewatoa knockout
 
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
acha kufananisha mji na kijiji wewe. Moshi ni mji mkubwa zaidi na hapo ndo kiburi cha nshomile kilipoishia.hamna ujanja kwa hilo.
 
Waambie basi wasilete mabasi tu wajenge na kwao moshi, naona bk imewatoa knockout
tumewaonea huruma tukawaletea nyie MNA ubavu wa kununua mabasi? sisi mabasi yetu kila kanda yapo nfano
HAPPY NATION,IBRA LINE,MACHAME SAFARI,LM,KLM EXP, NGORIKA, DAR EXPRESS NK NIKITAJA HAP hayataisha
 
Sijawahi kufika BKB ila nimekutana na baadhi ya wana bkb, ninachoshauri Wachaga Tusilewe sifa maana hatuna historia ya kuwa na sifa,Ila tujitahidi kuzidi kuijenga Moshi as well as Maeneo mengine yanayoizunguka,kuzitumia fursa ipasavyo maana asili yetu ni kushindana kimaendeleo,laa sivyo tutaachwa na baadhi ya Manispaa
 
Mmetumiaje fursa ya vyuo kuendeleza mji??? Au ndo mnavitazama na mji unakonda
HAHAHA MANENO YA MKOSAJI
TUNGEKUWA HATUJAVITUMIA VIZR TUNGEWAZD MAPto
TUNGEKUWA MJI WA KWANZA KWA USAFI
TUNGEKUWA MJI ULIOPANGILIWA VZR?
TUNGEKUWA MJI ULIOTOA MATAJIR WENGI ACHILIA MBAL WAFANYABIASHARA WAKUBWA KINA MENGI?
MENG N MTU WA KWANZA TZ KUANZISHA TV BINAFSI NA REDIO
NYIE MTAISHIA KULA SENENE TU NA UCHUM WENU MGANDO
 
Nioneshe jengo la Mengi hapo moshi
 
Nilianzia lusaunga, biharamulo, mlima wa simba, kasindaga, kibaoni, Runazi, rulanga, ilemela, muleba, kagoma, katoke, kemondo, kyetema, bukoba, kafagwe.. ...... Nayafahamu vizuri maeneo haya yote kwa kweli kuifananisha na Moshi ni matusi makubwa ya nguoni yasiyovumilika bukoba mjini ni pa kishamba barabara ina mashimo makubwa ya kitisha.

Barabara zao ni vichochoro stand ni liboma la ajabuajabu majumba yamechakaa kama kilwa masoko au stone town zanziba au lushoto Tanga.

Huwezi kufananisha bukoba na moshi kwanza bukoba ni masikini sana hata report zinaeleza.
 
kwi ww Istanbul n sikio LA kufa
hata kichaa atakushangaa kwa kukuona ukifananisha mosh n bkb
nyie MNA uchumi gan wa senene?
mnachangia pato kiss gan?
majengo yenu hayafikii yetu hats kwa 10%
Picha mzee porojo za nini
 
Acha kufananisha Moshi na bukoba,kiuhalisia wahaya wamesoma kama wachaga ila kwenye swala la pesa na maendeleo Moshi iko juu sana.
Na hiki kipindi cha sikukuu wameongoza kwa kurudi Moshi mpaka foleni imepungua mijini.
Niliwahi kutembelea israel miaka fulani na sioni tofauti sana na wachaga
 
Tumeanza kurudi tangu mwaka juzi kaangaliye majengo binafsi yaliyojengwa tangu mwanzo mwa mwaka juzi na mwaka kesho pia kuna project kubwa sana binafsi
 
NIMEAMIN WW N MSHAMBA
HIVYO VIJENGO HAVIJAFKIA HATA 10% YA MOSHI
NYIE MMETUZD KWA MBWEMBWE TU
Leta za moshi halisi kazi yenu kutuletea za Kenya,mwanza,iringa,arusha,hadi posta dar leta za moshi halisi sio poroja
 
kyaka IPO bukoba? acha uongo
viwanda vyenu vyote ulivotaja hapo vya juice,maji n sawa na kiwanda chetu cha cocacola pale moshi
achilia mbali mlima KLM,uwanja wa ndege wa kimataifa wa kia nk
Tanica ipo wapi,chai yetu,bunena,nk au si bk
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…