Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Unafikiri wahaya hawajajenga vijijini ingekuwaje wote wangejenga bk, bk kuna wanyarwanda wengi na waganda,ndo maana IPO hivyo shida bk watu wanapasikia tu.
Mimi sipasikii, nimeishi hapo. Nadhani sifa za Kinshomile zinachangia pia. Hapako hivyo, usitudanganye kwa picha
 
Haya makabila ya wahaya na wachaga wamefanikiwa kutoboa lakini Leo yanashindania ujinga humu
 
vitu kama hivi bukoba hamna.....Hii ndo moshi.
 
Nilichokiana hapa ni mleta mada kuwahadaa watu kupicha hasaa kwa jengo mojamoja lkn sio view nzima kwa ujumla.. To be honest nimetembea miji yote miwili tuache kudanganya fikra zetu zetu bukoba bado sana kwa moshi...japo hme green city
 
Mimi sipasikii, nimeishi hapo. Nadhani sifa za Kinshomile zinachangia pia. Hapako hivyo, usitudanganye kwa picha
Fika mwenzangu nauli 60000elfu toka dar na. Mwz elfu 20000 na kwa ndege laki tatu
 
Bukoba hakuna kitu wala jipya..no miundombinu ,kila kitu local ,in short mpangilio zero
 
Bukoba hata morogoro tu haigusi Moshi, manispaa pekee iyoweza igusa moshi ni Dodoma
 
Fika mwenzangu nauli 60000elfu toka dar na. Mwz elfu 20000 na kwa ndege laki tatu
Acha kuchekesha ndugu, nimeishi pale. Hunidanganyi mjini wala vijijini. Nimeenda Muleba,Karagwe,Misenyi,Bukoba Rural na Urban kwenyewe. Nimekaa Kibeta,Rwamishenye,Ibura,Hamgembe,Kagondo....sehemu zingine nimefika tu kama Custom,Miembeni,Kyakailabwa nk
 
Moshi iko juu kwa Bukoba. Ila miji yetu haizidiani saana kiasi cha kuweka clear cut.

Kwa uzoefu wangu napanga majiji na manispaa za tz kwa mfuatano ufuatao.

1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mbeya
5. Tanga
6. Dodoma.
7. Moshi.
8. Morogoro.
9. Bukoba
10. Shinyanga.
11. Iringa.
12. Musoma.
14.Singida.
15. Kigoma.
Endeleeza. Kuanzia Bukoka hadi kigoma no almost inalinganga nimeandika tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…