Unafikiri wahaya hawajajenga vijijini ingekuwaje wote wangejenga bk, bk kuna wanyarwanda wengi na waganda,ndo maana IPO hivyo shida bk watu wanapasikia tu.
Nilichokiana hapa ni mleta mada kuwahadaa watu kupicha hasaa kwa jengo mojamoja lkn sio view nzima kwa ujumla.. To be honest nimetembea miji yote miwili tuache kudanganya fikra zetu zetu bukoba bado sana kwa moshi...japo hme green city
Acha kuchekesha ndugu, nimeishi pale. Hunidanganyi mjini wala vijijini. Nimeenda Muleba,Karagwe,Misenyi,Bukoba Rural na Urban kwenyewe. Nimekaa Kibeta,Rwamishenye,Ibura,Hamgembe,Kagondo....sehemu zingine nimefika tu kama Custom,Miembeni,Kyakailabwa nk