RJ-White
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 744
- 750
Kwa maana hii ukiamini wewe umemzidi Jeff Bezos kwa helq na ni tajiri wa kaanza wa dunia leo, hilo litakuwa kweli.
Ukiamini kwamba ukipanda grorofani ghorofa ya 20 ukajirusha malaika wa Mungu watakudaka, utajirusa watakudaka tu.
Please tafuta mifano mingine. Hii ni irrelevant.