Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Ukiwa kipofu wa kiroho utamsingizia nani?Yuko wapi?
Ni pole tu.
Ukiwa kipofu wa kiroho utamsingizia nani?Yuko wapi?
Mungu yupo sehemu zote na wakati wote.Alikuwa na kazi ingine ya kufanya akashindwa kufika
Ukiachia mambo ya imani mbali,huyu jamaa mimi nilimuelewa vizuriMchungaji Merchades Mugishagwe ni baba aliyegoma kuwaandikisha shule watoto wake kwa madai kuwa imani yake haiamini katika elimu ya dunia.
Februari 2021 alikamatwa na polisi kwa amri ya mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Deodatus Kinawilo akidaiwa kukaidi agizo la kuwaandikisha watoto wake watatu shule.
Inategemea na imani yako. Ukiamini yupo itakuwa sawa. Na ukiamini hayupo itakuwa sawa pia maana hayo yote yanatokana na judgement yako.Kwa mara nyingine tena, Mungu huyu ni hadithi za watu tu.
huwa unalipwa bei gani na Antichrist kuja kuwaaminisha watu humu wasiamini kama kuna mungu???Kwa mara nyingine tena, Mungu huyu ni hadithi za watu tu.
Mkewe mwenyewe anaitwa Agripina Maganja.Mchungaji + mke wake wanavuta bangi bila shaka
Kwa maana hii ukiamini wewe umemzidi Jeff Bezos kwa hela na ni tajiri wa kwanza wa dunia leo, hilo litakuwa kweli.Inategemea na imani yako. Ukiamini yupo itakuwa sawa. Na ukiamini hayupo itakuwa sawa pia maana hayo yote yanatokana na judgement yako.
Ukisema ni hadithi ni sawa na ukisema sio hadithi unakuwa sawa pia, as per your own thinking, choices and decisions.
Nimescreenshot hii comment nimemtumia kibatalaHivi kwani ni ipi dhana yenu kwa mola wa walimwengu?!...yaani mnamuona kama Kibatala fulani hivi au?!..
Wewe jifunze Kiswahili ujue maana ya neno bei kabla ya kujishaua hapa.huwa unalipwa bei gani na Antichrist kuja kuwaaminisha watu humu wasiamini kama kuna mungu???
Mahakama Haina diniMalalamiko ya mwisho ya mchungaji baada ya hakimu kuhitimisha case
"Mungu huwezi kumuona kwa Macho ya kawaida, he can only be detected by holy spirit. Na ndio kitu ambacho hakimu amekosa"
hahahahaa mkuu acha uchonganishi..Nimescreenshot hii comment nimemtumia kibatala
Usilitaje bure Jina la Bwana Mungu wako.
Usilitumie jina la Mungu kwa njia isiyofaa.—Kutoka 20:7.
Endelea kutoamini na kulichezea.Kwani neno MUNGU ni jina ?