Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

Umesahau na ukumbi wa Rio Di Janeiro
 
Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!

Kwanza hawana stend!
Hawana soko!

Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!

Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango

Britanicca
Kila mtu ana matatizo yake. Ila matatizo hasa ya akili yanakuwa makubwa sana kwa watu wanaoipenda na kuishabikia ccm hawa wanamatatizo makubwa sana kichwani
Hivi hawaoni kwamba wanadanganywa na kufanywa WAJINGA??
 
Umeamua kutusema na kutusimanga utukomee itwe tulio munooo
 
Mayala umenifurahisha sana, hebu tukutane break point weekend tugonge maji ya dhahabu!!!
 
Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!

Kwanza hawana stend!
Hawana soko!

Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!

Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango

Britanicca
Haha naona umewasemea home.


Haha wahamie Uganda mkuu nshomile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…